Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 315
- 308
ATTENTION: Kuna mpango wa CHADEMA kupitia Makamu Mwenyekiti wake John Heche kuhusu kuwatumia vijana Redbrigade kutoka Musoma, Tabora na Kigoma kufanya vurugu eneo la Katoro ili kuwatisha wafanyabiashara wa Katoro wafunge maduka yao ili waende wakahudhurie mkutano wao.
Inaelezwa kuwa asubuhi ya leo na wiki nzima tangu Jumatatu, kuna vijana wa CHADEMA wanapita kwenye maduka ya wafanyabiashara wakiwataka wachangie 20K kila mmoja ili kuwezesha mkutano wao na kunogesha ujio wa Makamu Mwenyekiti ili ionekane amepata mapokezi makubwa kama inavyokuaga Simba na Yanga.
maelekezo ya Makamu Mwenyekiti John Heche ni kuwa yeyote ambaye hatachangia na kufunga Duka siku ya mkutano basi watamuweka kwenye kilengeo na watahakikisha anapata hasara kwenye duka lake baada ya mkutano kuisha na hadi sasa wafanyabiashara karibia 50 wamepokea hivyo vitosho vya kuchangia na kufunga maduka yao japo wanaamini
.
Inaelezwa kuwa asubuhi ya leo na wiki nzima tangu Jumatatu, kuna vijana wa CHADEMA wanapita kwenye maduka ya wafanyabiashara wakiwataka wachangie 20K kila mmoja ili kuwezesha mkutano wao na kunogesha ujio wa Makamu Mwenyekiti ili ionekane amepata mapokezi makubwa kama inavyokuaga Simba na Yanga.
maelekezo ya Makamu Mwenyekiti John Heche ni kuwa yeyote ambaye hatachangia na kufunga Duka siku ya mkutano basi watamuweka kwenye kilengeo na watahakikisha anapata hasara kwenye duka lake baada ya mkutano kuisha na hadi sasa wafanyabiashara karibia 50 wamepokea hivyo vitosho vya kuchangia na kufunga maduka yao japo wanaamini