mkimbizi feki wa kisiasa naona baridi ya finland imegandisha ubongo wako huku tanzania amani tele siku hizi tunatembea mpaka saa 8 usiku bila wasi wasi
Sasa kizungu gani umejampa hapa?You know nothing. Ulipoandika Media kuzibwa mdomo ndo hapo Nimeona wewe Sio mzima. Kuna tusi gani msilomtupia JPM humu na kwingineko. Magazeti kama Mwananchi, Tanznia daima and the like wanaandika nini. Wazi shallow minded and prejudiced like you ni sumu sana. Be positive for ones in your life.
huyo Chahali nchi amezamia ulaya huko baada ya kuwadanganya eti anatafutwa na serikali auwawe hawezi kurudi tanzania kwanza ameshafutiwa uraia wa tanzania
Hata kuzindua sikuhizi hakuna uzinduzi. Sijui tumefikia malengo ya viwanda!
Pale KAWE Bondeni kuna kivuko cha juu, kimeanza kutumika kabla ya uzinduzi!Hata kuzindua sikuhizi hakuna uzinduzi. Sijui tumefikia malengo ya viwanda!
Kama amezima itakuwa poa kweliii!!!
hii nchi bana, unaambiwa ukikutwa na mavi ya chatu ni kuhujumu uchumiJihadhari. Kuna mwenzako aliandika kuhusu kichaa amepelekwa mahakamani kwa kosa la kumwandika vibaya kichaa kwenye mtandao ingawa haijuilkani kichaa ni nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale KAWE Bondeni kuna kivuko cha juu, kimeanza kutumika kabla ya uzinduzi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnapenda lugha nyepesinyepesi msiumize kichwa , Ujumbe unajitosheleza kabisa kama hujaelewa chukua dictionary ,Any way jiwe yupo magogoni analia tu kajiinamia anafikiria safari ya the Hague itakuwaje naye hapandagi ndege .
Mie mwenyew niliambia kuhusu chahali nikabaki nasisimka tu..huyu wanamdharau tu...lol😷Ch
Chahali yuko well informed than you think
Kakufundisha nani ujinga huo we mwanadamu usie adili,ni nani wewe kuwalaani watu juu ya agano la babu zako?(agano = katiba) amelaaniwa MTU. yule alivunjae agano kwani yuatenda dhambi mbele ya bwana Mungu wake, je mmesahau viapo vyenu mbele za bwana mlipojiapiza kuwa mtalitunza agano hili hata milele!Kuna vitu Vinne visivyo shiba kamwe naam vitano visivyo sema basi
Kuzimu
Tumbo lisilo zaa
Nchi isiyo shiba maji
Moto usio sema basi na
Upinzani uchwara wa Tanzania walahi
Wataangamia wote wao na vizazi vyao milele kama watoto wa Kora kule Jangwani waliko mpinga Nabii wa Mwenyezi Mungu Mussa
Jiandaeni maana mmekwisha kabisa walahi
In Goddess Isis voice
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂
Lakini ni kweli haonekani kwenye pilka zake za kawaida Mfano uzinduzi.
Ila haya Nyani Ngabu simuoni humu toka Lissu afike marekani!😳
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chizi kweli ww dah
😂😂😂😂😂bora chizi
Nashukuru kujua kama mi nna afadhali. Yule shauri yk mwenyewe!😂😂😂😂😂bora chizi
😂😂😂😂sawa chizi wanguNashukuru kujua kama mi nna afadhali. Yule shauri yk mwenyewe!