Wale mateja na wakabaji wa usiku hawapo tena?mkimbizi feki wa kisiasa naona baridi ya finland imegandisha ubongo wako huku tanzania amani tele siku hizi tunatembea mpaka saa 8 usiku bila wasi wasi
Upo kijiweni na hakuna dili za kutengeneza vyeti feki, hela feki na vocha feki kwa nini maisha yasiwe magumu?Chahali hayuko Finland bhana. We nawe acha kuwa lopolopo.
Watu tanajilinda wenyewe tu; na kumuomba Mungu. Mahali ambapo hali ya maisha ni ngumu (pesa haipatikani) kutakuwaje na usalama wa mtu kutembea hata saa 8 za usiku. Shirikisha ubongo wako kabla ya kumwaga upupu humu.
Hivi hizi hasira kwa nn msizitoe kwa angalau kuandamana? Sasa hapa umepata nn? Je, katiba mpya? Je, tume huru ya uchaguzi? Je, uhuru wa mahakama?Stupid kweli wewe, hujui hata kaandika nini, utakuja kufa unatembea mjinga wewe, aliyekuambia mtoa mada yupo Finland ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Manyumbu mtausikia wimbo huo siku jiwe anaapishwa kuongoza tano tenaMtabakia hivyo hivyo ma laymen ya CCM until a national anthem is sung
Sent using Jamii Forums mobile app
mkimbizi feki wa kisiasa naona baridi ya finland imegandisha ubongo wako huku tanzania amani tele siku hizi tunatembea mpaka saa 8 usiku bila wasi wasi
Huyu hana lolote na hajui lolote bali anachofanya ni kuleta thread ikionyesha kama anajua jambo fulani ili wachangiaji wamsaidie kulijua.
Rais Magufuli yuko ofisini akiendelea na kazi zake kama kawaida.
Sasa kama unajua majibu unatuuliza ili iweje?Moja ya hasara za "media kuzibwa midomo" ni pamoja na kukwepa kuripoti yale yanayoweza kuziingiza media hizo matatizoni.
Lakini kwa upande mwingine, "media kuzibwa midomo" kunaweza kuhamasisha wananchi wa kawaida kugeuka wanahabari... or even mashushushu... kufidia ombwe la usakaji/upatikanaji/upashaji habari.
Back to the question: where's Jiwe?
Related question: Jiwe's whereabouts zinahusiana na tuloyasikia jana kutoka kwa "wanasiasa vijana"?
Swali la mwisho (na pengine lenye uzito zaidi): HALI HALISI ya usalama wa taifa letu ikoje (INTERNALLY)? Dark clouds hanging over...? Something about to...?
(Ofkoz, I know the answers, just waiting for the wrong ones first[emoji4])
Sent using Jamii Forums mobile app
Post za chahali ni za kupuuza. Mpiga ramli tu huyohuyo Chahali nchi amezamia ulaya huko baada ya kuwadanganya eti anatafutwa na serikali auwawe hawezi kurudi tanzania kwanza ameshafutiwa uraia wa tanzania
Nondo za Lissu zimemficha..Hata kuzindua sikuhizi hakuna uzinduzi. Sijui tumefikia malengo ya viwanda!
Mpuuze, hana anachokijua huyu chahali. Analishwa matango pori halafu anakuja kututambiaInashangaza sana mtu mzima kama mleta mada kutumia lugha za kihuni, jiwe ndio nani??
Mkuu sasa kwa hali hii mbona utajishushia credibility kubwa uliyoijenga miaka kibao humu! View attachment 1027333
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu, mwambie atutengenezee taasisi imara akianza na rasmu ya katiba ya Jaji Joseph Sinde WariobaHamtaki azindue, hamtaki afungue, kila kitu nongwa kulikoni, akikaa kimya, mnasema kwanini amekaa kimya, akiongea yake ya moyoni minuno, anaongea sana, afanyanje Mzee wa watu??
Bora tu akae kimya Mzee wa wote, Piga kazi Baba Mzee.