Jiwe yu wapi?

Jiwe yu wapi?

mkimbizi feki wa kisiasa naona baridi ya finland imegandisha ubongo wako huku tanzania amani tele siku hizi tunatembea mpaka saa 8 usiku bila wasi wasi
Amani ipi unaongelea mm sina aman usiongelee watu wengine jisemee pekee yako watu wanatembea saa nane za usiku tokea lini?endelea kupotosha wajinga wenzako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thread anazo anzisha Chahali siku hizi zinaonyesha kabisa amepoteza network na waliokuwa wanampa info miaka ya nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyuma akikuwa akipata taarifa kupitia mtandao wa ugombea uraisi wa Lowassa uliokuwa ndani ya serikali na system .Baada ya kubomolewa barabara ule mtandao kabakia kuishi kwa taarifa za kufikirika akiwa kwenye keyboard kinachomjia kichwani anakiposti.
 
Moja ya hasara za "media kuzibwa midomo" ni pamoja na kukwepa kuripoti yale yanayoweza kuziingiza media hizo matatizoni.

Lakini kwa upande mwingine, "media kuzibwa midomo" kunaweza kuhamasisha wananchi wa kawaida kugeuka wanahabari... or even mashushushu... kufidia ombwe la usakaji/upatikanaji/upashaji habari.

Back to the question: where's Jiwe?

Related question: Jiwe's whereabouts zinahusiana na tuloyasikia jana kutoka kwa "wanasiasa vijana"?

Swali la mwisho (na pengine lenye uzito zaidi): HALI HALISI ya usalama wa taifa letu ikoje (INTERNALLY)? Dark clouds hanging over...? Something about to...?

(Ofkoz, I know the answers, just waiting for the wrong ones first[emoji4])

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazushi wako busy always
 
Moja ya hasara za "media kuzibwa midomo" ni pamoja na kukwepa kuripoti yale yanayoweza kuziingiza media hizo matatizoni.

Lakini kwa upande mwingine, "media kuzibwa midomo" kunaweza kuhamasisha wananchi wa kawaida kugeuka wanahabari... or even mashushushu... kufidia ombwe la usakaji/upatikanaji/upashaji habari.

Back to the question: where's Jiwe?

Related question: Jiwe's whereabouts zinahusiana na tuloyasikia jana kutoka kwa "wanasiasa vijana"?

Swali la mwisho (na pengine lenye uzito zaidi): HALI HALISI ya usalama wa taifa letu ikoje (INTERNALLY)? Dark clouds hanging over...? Something about to...?

(Ofkoz, I know the answers, just waiting for the wrong ones first[emoji4])

Sent using Jamii Forums mobile app

You know nothing. Ulipoandika Media kuzibwa mdomo ndo hapo Nimeona wewe Sio mzima. Kuna tusi gani msilomtupia JPM humu na kwingineko. Magazeti kama Mwananchi, Tanznia daima and the like wanaandika nini. Wazi shallow minded and prejudiced like you ni sumu sana. Be positive for ones in your life.
 
Chahali hayuko Finland bhana. We nawe acha kuwa lopolopo.
Watu tanajilinda wenyewe tu; na kumuomba Mungu. Mahali ambapo hali ya maisha ni ngumu (pesa haipatikani) kutakuwaje na usalama wa mtu kutembea hata saa 8 za usiku. Shirikisha ubongo wako kabla ya kumwaga upupu humu.
Huyo jamaa ni wa hovyo saivi vibaka ni wengi Sana na wizi umerudi Kwa Kasi kubwa
 
Huyu hana lolote na hajui lolote bali anachofanya ni kuleta thread ikionyesha kama anajua jambo fulani ili wachangiaji wamsaidie kulijua.

Rais Magufuli yuko ofisini akiendelea na kazi zake kama kawaida.
Hebu mumtumie zile picha za mkulu akiwa na viongozi wa barick ili azidi kujiona alivyomweupe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom