LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
Kuna tabia flani mwanao akiwa nazo unayepata shida ni wewe mzazi
1. Mtoto kulilia kitu cha mgeni au chakula ulichowatengea wageni,
2. Akiwa anacheza na wenzake akiguswa tu kidogo kilio na machozi,
3. Kususa kitu kisa kimekatwa au kimepunguzwa mbele ya macho yake,
4. Mchana ukimwambia alale hataki,
5. Kukataa kuagizwa na mtu asiye mama au baba yake,
6. Kutukana watu,
7. Kusimama na kutazama watu wanaokula kitu na kuwataza akisubiria aitiwe
8. Ukimchapa na kumwambia anyamaze hanyamazi anaongeza kulia
9. Ukimtuma anaenda mazima,
10. Jitahidi mwanao asipende kushika vitu vya watu bila ya kupewa na mhusika hasa simu,
Haya ni baadhi tu yapo mengi ya kuzingatia katika malezi
Mtoto umleavyo ni mzigo wako na mateso yako mwenyewe ya baadae
1. Mtoto kulilia kitu cha mgeni au chakula ulichowatengea wageni,
2. Akiwa anacheza na wenzake akiguswa tu kidogo kilio na machozi,
3. Kususa kitu kisa kimekatwa au kimepunguzwa mbele ya macho yake,
4. Mchana ukimwambia alale hataki,
5. Kukataa kuagizwa na mtu asiye mama au baba yake,
6. Kutukana watu,
7. Kusimama na kutazama watu wanaokula kitu na kuwataza akisubiria aitiwe
8. Ukimchapa na kumwambia anyamaze hanyamazi anaongeza kulia
9. Ukimtuma anaenda mazima,
10. Jitahidi mwanao asipende kushika vitu vya watu bila ya kupewa na mhusika hasa simu,
Haya ni baadhi tu yapo mengi ya kuzingatia katika malezi
Mtoto umleavyo ni mzigo wako na mateso yako mwenyewe ya baadae