Jirani yangu kuna kanisa la walokole

Jirani yangu kuna kanisa la walokole

Usilalamike tu na kujitia unyonge kama kwamba huna haki. Anzia kwa mjumbe wako wa shina, mpelekee malalamiko yako juu kelele zinazozalishwa katika eneo la makazi ya watu.
Wasilisha malalamiko yako hapo ikiwezekana peleka taarifa kwa Mwenyekiti wa mtaa au kitongoji... LAZIMA suala lako litashughulikiwa maana sheria za kuwabana wavunja sheria hao zipo tayari.... Tatizo letu watanzania ni kutochukua hatua kuwawajibisha viongozi tuliowaweka madarakani, badala yake tunalalamika tu chini chini na kumwachia msala Mungu.
 
Mkuu mbona kuna muda nzuri tu, ila kwenye comments unakuja kujifyatua akili kwa hali ya ajabu sana
Hujafahamu nini? Unamsifia mtu ambae ni kapiga marufu nyumba za ibada?
 
Nilisema misikiti na makanisa yavunjwe ni upumbavu kila mtu aswali na kumuomba mungu nyumbani mwake DINI azijaleta faida yoyote hata moja...misikiti 2 na makanisa 2 kia wilaya yanatosha au kwa kuanziatunaweza kuamlisha siku ya ibada iwe moja tu kama ilivyo amriwa waislamu ijumaa tu kisha misikiti ifungwe kelele za kuitwana swala zisiwepo nq wakristo ni siku moja tu kwa week.
Bahati mbaya sisi waislamu hatuna mabadiliko kila teknolojia inavyokua, bali uislamu ni ule ule wa miaka zaidi ya elfu 1 iliyopita tutaswali swala 5 kila siku, kama utakufa kwa chuki ufe tu.
 
Ujui uislamu kuswali misikitini ni ijumaa zaidi swala 5 siyo msikitini wew unadhani waarabu awafanyi kazi awaendeshi meli awa safiri kwa ndege awaendi vitani huko msikiti hskuna ila swala zipo pale pale hata kipindi cha muhammad wewe unadhani kwa vimisikiti vichache na vidogo vya kipindi kile vingetosha waislamu wote wa muhammad...tambua tofauti ya swala 5 na msikiti ...swala siyo msikiti na msikiti siyo swala ...kumbuka wapo wafungwa kwenye majela ya duniani na hakuna misikiti je kwa mujibu ya uislamu awatakiwi kuswali swala 5 kwa sababu ya kukosa msikiti
Mwarabu atabaki kuwa mwarabu na muislam atabaki kuwa muislam. Ni vitu 2 tofauti.
Muislam anafanya kazi ndio maana akaekewa utaratibu wa ibada
 
Kwani huko hakuna serikali ya mtaa mpaka uje utusumbue sisi huku? Kama ipo umewauliza wajakujibu nini?
 
Bahati mbaya sisi waislamu hatuna mabadiliko kila teknolojia inavyokua, bali uislamu ni ule ule wa miaka zaidi ya elfu 1 iliyopita tutaswali swala 5 kila siku, kama utakufa kwa chuki ufe tu.
Wakiristo papa akiamua kuabdu J5 badala ya j2 wataipokea, wanaenda na wakati
 
Bahati mbaya sisi waislamu hatuna mabadiliko kila teknolojia inavyokua, bali uislamu ni ule ule wa miaka zaidi ya elfu 1 iliyopita tutaswali swala 5 kila siku, kama utakufa kwa chuki ufe tu.
Endelea kupata ilimu kwa mimi shekh wako wacha ujahiri ...swala 5 siyo msikiti naona mnachanganya mambo amjui tofauti ya swala na msikiti ...kutokuwepo msikiti hakuzui swala 5 wewe nguruwe
 
Kwani huko hakuna serikali ya mtaa mpaka uje utusumbue sisi huku? Kama ipo umewauliza wajakujibu nini?
Kama ni hivyo basi jf ifungwe, maana yote majibu yake yapo ktk sehemu husika
 
N
Mwarabu atabaki kuwa mwarabu na muislam atabaki kuwa muislam. Ni vitu 2 tofauti.
Muislam anafanya kazi ndio maana akaekewa utaratibu wa ibada
Nguruwe sikia swala 5 siyo msikiti
 
Eneo letu kuna jamaa kakodishwa kaanzisha Kanisa, sasa eneo alilopo juu, sisi tupo kwa chini kidogo, kuanzia ijumaa mpaka jumapili hayo makelele kama wapo chumbani aisee, Mbaya zaidi usiku hawapo lakini wanaacha maspika yao yanarindima..
Vipi hali ya mapepo na wachawi kwa uwepo wa hayo makanisa Bado mnasumbuliwa.
Wachawi, nguvu za Giza havipatani na hayo makelele na Wala hawasogei
 
Hujafahamu nini? Unamsifia mtu ambae ni kapiga marufu nyumba za ibada?
Kwa hoja uliyoileta mezani, wewe unatakiwa kumsifu sana kagame maana malalamiko ya hoja yako kaweka mpango ya kuyatatua mkuu.
 
Acha chuki za kiimani mpuuzi wee, hakuna kanisa la hivyo linalopiga kwaya muda wote. Mnakuaga na chuki mkiona makanisa ya mnaowaita walokole yamechipuka mitaani kwenu mnaona ni kero
 
Weusi tuna shida...nchi hii ina serikali, kisha Halmashauri, kuna MIPANGO MIJI etc.

Watu wanajitafutia eneo, wanaendeleza kama mchwa tu, huduma za kijamii zinapelekwa, jamaa wanaanza kuchukua kodi za majengo, baada ya miaka 10, wanakuja kusema tunapima maeneo hivyo hivyo ilivyojengwa...miaka 2 inayofuata, wanaanza bomoa bomoa kupitisha road.

Yote hayo ni ndani ya miaka pengine 20, baada ya mwaka 2000. Kipindi ambacho nchi tayari ina umri wa mtu mzima.

Sasa, ilipaswa kuwa, MAENEO YA MAKAZI, kusiwe na Duka, bar, genge, kanisa, msikiti n.k
  • Acha makazi yawe makazi
  • Tenga maeneo ya karibu, tena ikiwezekana opposite na makazi au vyovyote, weka huko biashara zote na majengo ya kiimani.

Hii itasaidia hata kupunguza matuta ya kipumbavu barabarani na vibao vya spidi 50.
- Nyumba huku, duka lipo upande wa pili wa road, bar iko upande mwingine...lazima uweke tuta hapo, kuna mlevi, kuna mtoto anayetumwa kwenda dukani n.k

Tunasubiri tuje tupangiwe na weupe! Sisi tunahamasishana kula kwa urefu wa kamba.
Haya waliweza wakoloni na sio blacks.
Sisi tuliokuliwa Mwadui mgodi wa almas shinyanga tulikulia mazingira hayo kila kitu kipo kwenye mpangilio.
Eneo la shule ni mashule tu,la ibada ni makanisa na msikiti tu ya michezo ni michezo tu ya burudani sijui disco muzic, mashamba, makaburi, makazi hakuna mivurugano.
Mifumo ya makazi zigzag ilianza baada ya uhuru
 
Nifanyeje?
Usiku na mchana ni kwaya tu, wakati mwengine wanatia kanda na kuwasha maspika ya nje wao wapo majumbani.
Hawana Jumamosi, jumapili au ijumaa , siku zote wao ndio hivyo.
Kuna shule karibu nao wanaipata Pata.
Tufanyeje? Tuhame mpaka shule nayo tuihamishe?
Fungua msikiti au bar hapo jirani na kanisa.
 
Nifanyeje?
Usiku na mchana ni kwaya tu, wakati mwengine wanatia kanda na kuwasha maspika ya nje wao wapo majumbani.
Hawana Jumamosi, jumapili au ijumaa , siku zote wao ndio hivyo.
Kuna shule karibu nao wanaipata Pata.
Tufanyeje? Tuhame mpaka shule nayo tuihamishe?
Kateni nyaya za spika
 
Haya makanisa yamesaidia kufukuza mapepo na wachawi watu wanalala vizuri usiku fanya tafiti siku ya mikesha yao usiku wa IJUMAA kuamkia jumamosi je huwa mnasikia mbwa wanabweka usiku?
Wachawi hawakatizi anga hizo.
Hata mvua zikiwa zinanyesha usiku wachawi hawatoki
 
Back
Top Bottom