- Thread starter
- #21
Kwanini misikti ivunjwe na makanisa yavunjwe? Basi hata uwanja wa mkapa uvunjwe maana wakicheza Yanga na Simba maeneo ya jirani huipata Pata kwa adha na fujo za wasshabikiNilisema misikiti na makanisa yavunjwe ni upumbavu kila mtu aswali na kumuomba mungu nyumbani mwake DINI azijaleta faida yoyote hata moja...misikiti 2 na makanisa 2 kia wilaya yanatosha au kwa kuanziatunaweza kuamlisha siku ya ibada iwe moja tu kama ilivyo amriwa waislamu ijumaa tu kisha misikiti ifungwe kelele za kuitwana swala zisiwepo nq wakristo ni siku moja tu kwa week.