Haha pole boss lakini nakushauri ukamchukue dogoAta ungekuwa wewe usingeekaa apo..kifupi nyumba ina masharti kama yote.Siku namwambia mwenye nyumba nimepata sehemu bado kumalizia kodi kidogo ndani ya wiki moja..sikulala usiku wake(nilisumbuliwa kama nakabwa) na nilivyoamka nikasepa zangu.Yaan ni kma nilitoa taarifa kuwa wakikaza tuu kidogo naamsha na ndo wakafanya kweli.
Ata ungekuwa wewe usingeekaa apo..kifupi nyumba ina masharti kama yote.Siku namwambia mwenye nyumba nimepata sehemu bado kumalizia kodi kidogo ndani ya wiki moja..sikulala usiku wake(nilisumbuliwa kama nakabwa) na nilivyoamka nikasepa zangu.Yaan ni kma nilitoa taarifa kuwa wakikaza tuu kidogo naamsha na ndo wakafanya kweli.
Kweli.Kweli eeh?
Huku kwetu uswaz utaonekana unaringa. Labda uchukue ukatupe mbali.Binafsi nakushauri usile, just don't eat. Binadamu wa siku hizi tumekuwa wanyama, hata kama sio mganga/mlozi/mchawi. Anaweza kukufanya kitu kibaya. Sema asante nashukuru, nimeshakula...
Nisaidie namba ya mkewe nipambne nguvu na mgangaHaha kaka mganga sina mawasiliano nae kwanza hata nikikutana nae njiani siwezi kumtambua mkewe ndio tupo close
Habari za asubuhi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.
Mkuu zitabatianaNisaidie namba ya mkewe nipambne nguvu na mganga
Mkuu hakikisha kabla ya kula unakiombea chakulaHabari za asubuhi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.