Jirani Mganga

Ata ungekuwa wewe usingeekaa apo..kifupi nyumba ina masharti kama yote.Siku namwambia mwenye nyumba nimepata sehemu bado kumalizia kodi kidogo ndani ya wiki moja..sikulala usiku wake(nilisumbuliwa kama nakabwa) na nilivyoamka nikasepa zangu.Yaan ni kma nilitoa taarifa kuwa wakikaza tuu kidogo naamsha na ndo wakafanya kweli.
Haha pole boss lakini nakushauri ukamchukue dogo
 
Havina shida hivyoo we kula !! Akikutaka hata bila ya kukupa misosi yake anauwezo wa kukupata.
 
Ata ungekuwa wewe usingeekaa apo..kifupi nyumba ina masharti kama yote.Siku namwambia mwenye nyumba nimepata sehemu bado kumalizia kodi kidogo ndani ya wiki moja..sikulala usiku wake(nilisumbuliwa kama nakabwa) na nilivyoamka nikasepa zangu.Yaan ni kma nilitoa taarifa kuwa wakikaza tuu kidogo naamsha na ndo wakafanya kweli.



Teh kwahiyo hao wakabaji ni wenye nyumba wenyewe?
 
Binafsi nakushauri usile, just don't eat. Binadamu wa siku hizi tumekuwa wanyama, hata kama sio mganga/mlozi/mchawi. Anaweza kukufanya kitu kibaya. Sema asante nashukuru, nimeshakula...
Huku kwetu uswaz utaonekana unaringa. Labda uchukue ukatupe mbali.
 
Habari za asubuhi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.


Pole sana msukule mtarajiwa. Karibuni tutakuona Kariakoo kwenye maduka ya wahindi, waarab na wapemba kuvuta wateja.
 
Habari za asubuhi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.
Mkuu hakikisha kabla ya kula unakiombea chakula
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom