Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Natafuta kitabu kilichoandikwa na J.K. Nyerere, "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" kwa Kiswahili au Kiingereza.
Jitihada za kukipata mitaa ya Dar zilishindikana baada ya kuambiwa 'udaku' kwamba kimepigwa marufuku kinamna. Madukani mwa vitabu mwote nilimopita kukiulizia waliniona juha, kana kwamba 'kila mtu anajua' kitabu kilipigwa marufuku.
Madai hayo ni ya kweli au uzushi tu wa uchaguzi?
Shida yangu ni nakala moja tu ya kitabu hicho kwa ajili ya rejea ya kitaaluma.
Natanguliza shukrani.
Amazon.com: Mlenge Fanuel Mgendi: Books, Biography, Blog, Audiobooks, Kindle
=============
UPDATE by JF Admin:
Kwa msaada wa mkuu SubiriJibu kitabu kimepatikana, nakala inaweza kupatikana chini hapa
Jitihada za kukipata mitaa ya Dar zilishindikana baada ya kuambiwa 'udaku' kwamba kimepigwa marufuku kinamna. Madukani mwa vitabu mwote nilimopita kukiulizia waliniona juha, kana kwamba 'kila mtu anajua' kitabu kilipigwa marufuku.
Madai hayo ni ya kweli au uzushi tu wa uchaguzi?
Shida yangu ni nakala moja tu ya kitabu hicho kwa ajili ya rejea ya kitaaluma.
Natanguliza shukrani.
Amazon.com: Mlenge Fanuel Mgendi: Books, Biography, Blog, Audiobooks, Kindle
=============
UPDATE by JF Admin:
Kwa msaada wa mkuu SubiriJibu kitabu kimepatikana, nakala inaweza kupatikana chini hapa