Sawa kijana nmekuelewa,inavyoonekana bado hujawa mbobezi kwenye hiyo tasnia,utakuja kunielewa mbele ya safari huko,sababu changu huwa hachukuliwi kwa dizaini hyo kwanza umeona wapi changu akalewa ,alafu pili demu kuwa loose ball haimanishi sio kisu bwamdogo, ni mambo ya taiming tu kama unachinja nungunungu vile.Hata kama ni kick and run muhimu kiwe kisu Na asiwe changu
Labda ni mgeni wa club but sema tatzo kakop li ujumbe uko kalichukua lote but katika really situation club hakuna kutongoza.Hata mimi nimemshangaa hapo
Unatongozaje club eti
shemlakeNext nahisi
Jinsi ya kumtongoza mwanamke kanisani [emoji102][emoji102][emoji102][emoji102]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nungununguSawa kijana nmekuelewa,inavyoonekana bado hujawa mbobezi kwenye hiyo tasnia,utakuja kunikunielewa mbele ya safari huko,sababu changu huwa hachukuliwi kwa dizaini hyo kwanza umeona wapu changu akalewa ,alafu pili demu kuwa loose ball haimanishi sio kisu bwamdogo, ni mambo ya taiming tu kama unachinja nungunungu vile.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] sitaki ushaidiiMda wote huo jamaa kakomaa kama sura ya homorapa
Mwanaume kumtaka mwanamke hakuna cha ajabu mkuuSema unamtaka Jonnah acha kujishebedua kama dada aliyepoteza nauli
Nafata procedures zako mkuu hizo za kutongozaSasa mbona unajizungusha kama unataka kuchimba dawa!
Acha uogaUjiandae kuchunwa hamna jingine tena ukutane na machangu wako kazini uisome namba ununue bia za 5000 tano halewi km hujakosa hela ya naulii xiiiiiiiii
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] ukipenda single mother penda Na mtoto!!