Acha longolongo sema una shs ngapi?Za jioni jamani,weekend ndo inaendelea hiyo Na Mimi nimeona bora niwakumbuke majembe yangu.
Kwa wale wenye mtoko Wa club au bar haya hapa mautundu yatakayo kuhakikishia kuondoka Na Mrembo
Utakayevutiwa naye.
Tusonge pamoja,
1.jiandaa
Usafi Na kuvalia kama MTU anaeenda Na wakati Ni muhimu sana.kumbuka unaenda kwenye halaiki ya watu tena club usivae kama unaenda kanisani au bungeni.
Unyunyu utakaokuwa Wa wastani utakupa maksi zaidi.
2.kuwa kidume
Haina maana upige watu,la,jiamini ukiwa club usikae nyuma au kwenye kona,nenda kaunta!!usiiname muda wote,nyanyua kifua,usikae kwa kujibana hakikisha unachukua eneo kubwa iwezekanavyo.
3.kuwa Na furaha.
Wanawake hawawapendi wanaume wenye huzuni,furahia maisha,hii itamvuta mwanamke kwako bila kujielewa!
4.anza kwa kumuangalia machoni
Hakikisha unakutanisha macho! Usimwangalie kama umebanwa Na mlango!!lainisha macho kisha angalia pembeni umpe nafasi ya kukuangalia vizuri, tabasamu!!,akitabasamu,tabasamu zaidi,mambo hayo!
5.Anza kumuandama
Hutakiwi kumfuata Moja kwa Mona alipokaa!msogeree kwa upandeupande la sivyo atakuona tishio!
6.Teka hisia za marafiki zake
Aghalabu demu huja Na rafikize club,jitambulishe pia wafahamu wao
Kuwa mcheshi.
7.muibe toka kwa marafiki zake!!.
Ili uweze kuzama zaidi utahitaji faragha!,omba kuongea nae kando au kama unaujuzi Wa kucheza mziki kama mose iyobo muombe mkacheze, huko unajua cha kufanya,waooo!
Au unaweza kusingizia hapo mlipokaa padogo!yap kisha wahamishie ktk himaya yako
Huko utakuwa huru zaidi
Kama kuchukua contacts Na mengine.
Hitimisho.
Ikiwa utacheza vizuri, kuongezea Na maujanja mengine uwezekano Wa kuosha rungu ni mkubwa sana siku hiyo hiyo!!
Kazi kwenu vidume.
Chaoo!
Vyovyote vile mkuu, agizia kinywaji kwa wingi utamskia mwenyewe tunaondoka mda gani sasa????Sio maneno ni mwenendo
Hunter Huntered hahaaaaaaIzi swaga ki chuochuo kweli ila club ukiona umeopoa na yeye anaona amekuopoa yani ngoma droo kila mtu alikuwa kwenye taimingi zake apo
Nakulipia sadaka tu basNext nahisi
Jinsi ya kumtongoza mwanamke kanisani [emoji102][emoji102][emoji102][emoji102]
Sichukui machangu,target yangu watoto wa chuo kama weweUjiandae kuchunwa hamna jingine tena ukutane na machangu wako kazini uisome namba ununue bia za 5000 tano halewi km hujakosa hela ya naulii xiiiiiiiii
utajuaje sio dada poa? club kumpata wa dizain hizo ni sawa kwenda kutafuta bikra wodi ya wazazi!Sijazungumzia kuhusu madada poa nimeelezea namna unavyoweza kumvutia Na kumteka mwanamke alie enda club kuburudika,yuko well off.
Hutanisaidia kubeba BibliaNakulipia sadaka tu bas
Aliye kwambia mi wachuo nanii??? Mi changuuSichukui machangu,target yangu watoto wa chuo kama wewe
sawa mkuu..nitajaribuNi hivyo mkuu nenda club Na pesa madafu walau 100k isiyo Na kazi hutawaza sana.
Hhahahah kam kawaida yako Mzee!Za jioni jamani,weekend ndo inaendelea hiyo Na Mimi nimeona bora niwakumbuke majembe yangu.
Kwa wale wenye mtoko Wa club au bar haya hapa mautundu yatakayo kuhakikishia kuondoka Na Mrembo
Utakayevutiwa naye.
Tusonge pamoja,
1.jiandaa
Usafi Na kuvalia kama MTU anaeenda Na wakati Ni muhimu sana.kumbuka unaenda kwenye halaiki ya watu tena club usivae kama unaenda kanisani au bungeni.
Unyunyu utakaokuwa Wa wastani utakupa maksi zaidi.
2.kuwa kidume
Haina maana upige watu,la,jiamini ukiwa club usikae nyuma au kwenye kona,nenda kaunta!!usiiname muda wote,nyanyua kifua,usikae kwa kujibana hakikisha unachukua eneo kubwa iwezekanavyo.
3.kuwa Na furaha.
Wanawake hawawapendi wanaume wenye huzuni,furahia maisha,hii itamvuta mwanamke kwako bila kujielewa!
4.anza kwa kumuangalia machoni
Hakikisha unakutanisha macho! Usimwangalie kama umebanwa Na mlango!!lainisha macho kisha angalia pembeni umpe nafasi ya kukuangalia vizuri, tabasamu!!,akitabasamu,tabasamu zaidi,mambo hayo!
5.Anza kumuandama
Hutakiwi kumfuata Moja kwa Mona alipokaa!msogeree kwa upandeupande la sivyo atakuona tishio!
6.Teka hisia za marafiki zake
Aghalabu demu huja Na rafikize club,jitambulishe pia wafahamu wao
Kuwa mcheshi.
7.muibe toka kwa marafiki zake!!.
Ili uweze kuzama zaidi utahitaji faragha!,omba kuongea nae kando au kama unaujuzi Wa kucheza mziki kama mose iyobo muombe mkacheze, huko unajua cha kufanya,waooo!
Au unaweza kusingizia hapo mlipokaa padogo!yap kisha wahamishie ktk himaya yako
Huko utakuwa huru zaidi
Kama kuchukua contacts Na mengine.
Hitimisho.
Ikiwa utacheza vizuri, kuongezea Na maujanja mengine uwezekano Wa kuosha rungu ni mkubwa sana siku hiyo hiyo!!
Kazi kwenu vidume.
Chaoo!
mchungaji7 tunakuomba hukuNext nahisi
Jinsi ya kumtongoza mwanamke kanisani [emoji102][emoji102][emoji102][emoji102]