Jinsi ya kumtongoza mwanamke club

Jinsi ya kumtongoza mwanamke club

Mada ya kitoto hii,ila kwakuwa utoto ni hatua ya maisha ngoja tuwasaivijamadogo.
Njia ulioitaja ni ndefu sana na mlolongo,unakaribisha vizinga vya kasolaiti,chamsingi we skilizia mpaka mida ya saa kumi,mida hyo wengi washalewa so hakuna gharama ya kununua bia,then sogea mitaa ya karibu na bathroom,hapo ndo utakutana na loose ball za kumwaga,kinachofuata ni wewe tu kujiongeza mwanawane.
Haya mkuu tumia likizo yako vizuri.
 
Mada ya kitoto hii,ila kwakuwa utoto ni hatua ya maisha ngoja tuwasaivijamadogo.
Njia ulioitaja ni ndefu sana na mlolongo,unakaribisha vizinga vya kasolaiti,chamsingi we skilizia mpaka mida ya saa kumi,mida hyo wengi washalewa so hakuna gharama ya kununua bia,then sogea mitaa ya karibu na bathroom,hapo ndo utakutana na loose ball za kumwaga,kinachofuata ni wewe tu kujiongeza mwanawane.
Haya mkuu tumia likizo yako vizuri.
Muda huo wazuri wameshasepa wamebaki wauzaji
 
Muda huo wazuri wameshasepa wamebaki wauzaji
Sasa club unataka demu wa kuowa ama wa kwenda kulala naye.alafu huyo anayetoka club kabla ya saa 10 atakuwa mshamba.basi walau saa 9 mkuu,ukijitusu ukaanza harakati zako kabla ya saa 9 basi jiandae kunywewa bia nyingi na kukimbiwa,sababu ya kuwatafuta dakika za majeruhi ni kuwa wanakuwa tayari wako vyombo so kazi inakuwa rahisi zaidi.
 
Hukuelewa nilichomaanisha, nilikuona uneng'aka nikanyamaza, lkn ugomvi huwa siupendi mkuu
Sasa mbn unakataa si wewe nilikukaririi Sana'a.... Ingekuwa si ID fake ningekukuta kitaaa nakupigs maweee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Sasa club unataka demu wa kuowa ama wa kwenda kulala naye.alafu huyo anayetoka club kabla ya saa 10 atakuwa mshamba.basi walau saa 9 mkuu,ukijitusu ukaanza harakati zako kabla ya saa 9 basi jiandae kunywewa bia nyingi na kukimbiwa,sababu ya kuwatafuta dakika za majeruhi ni kuwa wanakuwa tayari wako vyombo so kazi inakuwa rahisi zaidi.
Mimi ninachojua dhahabu haiwezi kukaa juu ya ardhi
 
Sasa mbn unakataa si wewe nilikukaririi Sana'a.... Ingekuwa si ID fake ningekukuta kitaaa nakupigs maweee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mbona hivyo jmn [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom