Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Hizi mbinu ni very effective na ni rahisi sana maana huhitaji ujuzi mkubwa wa ICT zaid ya kujua kutumia. Ndo social engineering yenyewe. Watu wengi sana wanaingia kingi, hadi wataalam wa ICT wenyewe.

Kuna siku nilipata pm ya 'mdada' anataka nimpe namba yangu ya simu ili kuniunga na kundi la wajasiliamali la whatsApp. Mimi siposti kuhusiana na mambo ya ujasiliamali, alijuaje nitakuwa interested? Lazima uwe na alarm kichwani ili uweze kuruka huo mtego. Japo sina cha kuficha,siwezi kuwarahisishia maisha ktk kunitafuta.

Kwa Social engineering hata benki zinaingia kingi pamoja na kwamba ni taasisi ambazo ni very security conscious.
kweli kabisa unachosema siku hzi social engineering inatumika sana wataalamu wenyew wanasema kuwa the weakest security link is the human operator himself
 
Mkuu njia ngingine wanatumia uganga. Wanajifanya waganga wa tiba mbadala. Mwafaaaa.
Bas Juz Kat apa kuna mtu alkuja na utabibu wa kujitibia kwa vitu asili watu wakajaaa ataree Af mwisho akasema ntumieni namba zenu za cm tutengeneze group la watsup......... Watu waltiririka ataree.. Naeaonea huruma
Huo uzi upo umu kama unaeza tafta uone ulvojaa namba za watu
 
Unaweza kwa kuwa makin na unachokiandika
Suala siyo umakini wala kutukana wala kusema uongo! Hayo yote hayahatarishi maisha kivile! Tatizo ni kusema ukweli wa wahusika uliofanywa gizani na sirini! Wakubwa hawataki maovu yao yawekwe hadharani hata kama ni kweli! Ushauri- acheni ufisadi- over!
 
n
Technology zina athiriana zenyewe kwa zenyewe hivyo inategemeana na mtu na ujuzi wake wa maswala ya technology na unaweza usishikwe milele kama ni mtundu kwa maana sio lazima kushikwa .
kuna attack ambayo ukiifanya wakati uko karibu na mtu anae login jf unaweza tumia account yake(cookie session hijacking)
 
Bas Juz Kat apa kuna mtu alkuja na utabibu wa kujitibia kwa vitu asili watu wakajaaa ataree Af mwisho akasema ntumieni namba zenu za cm tutengeneze group la watsup......... Watu waltiririka ataree.. Naeaonea huruma
Huo uzi upo umu kama unaeza tafta uone ulvojaa namba za watu
Hehe
 
Id mbalimbali wakati simu ni moja?
Unaweza kutumia VPN pia, ila kwa njia zilizowekwa mezani na mleta uzi ambazo hazihusishi kwenda hatua ya mbele ya kutrace kifaa kilichotumika Id mbali mbali ni ideal deal.
 
Kwa hawa wa ccm labda wanatumia mbinu hizo ila kwa wataalamu wenyewe.... Hawaangaiki na mbinu za kijinga... Ukisha post jambo na ukawa online jua you not safe nirahisi sana kuingiliwa kimtandao na kuchukua taarifa zako ikiwemwo namba za simu, picha na files.
 
Kwanin uwe na hofu mkuu ww tiririka tu hakuna wakukudaka humu hivi ni lini labda member wa jf alikamatwa kwa bandiko lake hapa jf na si fb wala insta nk ??Kmni hivyo bas wangekuwa wameshaanza na mtu mmoja ambae kiukweli huyu jamaa sijui amejitoa muhanga ama vp anaitwa A H.....salute kwako mkuu
 
Kwanin uwe na hofu mkuu ww tiririka tu hakuna wakukudaka humu hivi ni lini labda member wa jf alikamatwa kwa bandiko lake hapa jf na si fb wala insta nk ??Kmni hivyo bas wangekuwa wameshaanza na mtu mmoja ambae kiukweli huyu jamaa sijui amejitoa muhanga ama vp anaitwa A H.....salute kwako mkuu
Saa kumi
 
Back
Top Bottom