jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
pitieni na hapa: Wikileaks vs Tanzania
HihihiWanaojifanya wanatafuta wapenzi nao muwaogope
saizi hata asie na kosa hajui kama yuko salama hali ni tete,Kama huna kosa hofu ya nini?!!!
Hehe kweli eti mganga wa kutibu magonjwa sugu,pumuMkuu njia ngingine wanatumia uganga. Wanajifanya waganga wa tiba mbadala. Mwafaaaa.
Ilo.kweli, kwanini wasidukue majambazi , matapeli wanadukua alomsema rais tu? Au sijaelewaNavyofaham uchunguzi wa kiusalama mwingi huwekwa kwenye keyword search
Wao wanakuwa na search engine yao kwa ajili ya kusearch keywords zao na kila unapopost ina trigger kwenye
Dictionary yao
Mfano wameweka neno raisi
Ukipost neno raisi wanajua kisha wanaanza kufuatilia aliyepost nani.
Watakusanya post zako wata analyze kisha watakuja na mipango kama wewe ni threat au la.
Hapo ndo hatua zaidi hufuata kama kukudua na mengineyo
Kabisa yansaizi hata asie na kosa hajui kama yuko salama hali ni tete,
Nawe je, kwa thread kama hii sio ndiyo umewachokoza wakutafute? Hivi ndiyo kuwa makini? Japo asante kwa thread!Habari zenu nahisi mko safi sana, je unajua kuwa pamoja na kwamba server ya baadhi ya forums ni vigumu kupata wenye akaunt lakin nawaibia siri, kidogo, pamoja na hiyo kama kukupata hawashughulik sana,
Watu wengi hawajuhi njia hizi hutumika na kumpata muhusika
1. Matangazo ya kazi, hapa watu wanakuwa washasahau kama wamesha comment mambo yasiyo na msingi. Mwana intelijensia mmoja anaweka tangazo la kazi, watu wanazama pm na kujiachia sana kuwa kaka nisaidie kaka nisaidie
2. Kuna wale wanaojiita "MISS FLAN NA MISS FLAN" Vijana wengi kwa mihemko ya mapenzi huzubaishwa na nyuzi wanazoanzisha hawa wanaojifanya wanawake kumbe ni madume kwenye mtandao, na kuwafuata PM kutililika kila kitu
Na kupanga maeneo ya kukutana mara mtu hatokei lengo ameshapata contact yako,
3. Matangazo ya biashara na connection mbalimbali, hizi pia ni njia rahisi kumdaka mtu na wamedakwa wengi mno,
4. Ushauri wa mapenzi na nguvu za kiume , hapa hatari sana watu wanaanzisha nyuzi watu wanaingia kichwa kichwa,
5. Wale wanaodanganya eti " nimepata clip moja ni hatari inamsema mkulu naogopa kuiweka hapa" utasikia watu wanajibu na Ku pm Namba yangu unitumie whatsap bhaaass.
6. Wanaojifanya kuipinga serikali na kuikashfu mtandaon hawakamatwi kama B-K hawa ni wa kutilia mashaka maana wanatengeneza mazingira uone hawako.na serikali na unapanga nao mikakati kumbe hatari sana,
Ushauri ni kwamba usitoe contact zako hata kama ni dili, maana ni Muhim kujilinda, lakin pia tuwe makini tunavyoanzisha thread au Ku comment tusitukane,
Muwe na mchana mwema
Britanicca encyclopedia
hiyo ni misemo kaka,umshukuru Mungu maxencemelo nishujaa hakukubari kutoa ID zawatu,ingekua Lugha nyingineThe only thing to fear is fear itself.
Hehe kweli eti mganga wa kutibu magonjwa sugu,pumu
Utakamatwa tuWengine hatukamatwi ngooo
Mkuu ni pm namba yako nikwambie ni nan jina linaanza na vNiliwahi ku-post huu uzi, baada ya siku kadhaa kuna mdada akahitaji namba yangu pm, akadai anataka aniunge kwenye Whatsapp group yao maana huko kuna hoja motomoto. Kiukweli nilikataa
[emoji116]
Awali ya yote nichukue fursa hii kumpongeza Mkuu wa Kaya yetu kwa moyo wake wa kizalendo wa kutuletea ndege mbili mpya ili kufufua shirika letu ambalo wenzie walilitafuna na kulifilisi. Japo haohao ndio wanaomshangilia kama vile waliofilisi shirika hilo siyo wao.<br /><br />Mkuu wa Kaya umedanganywa kuhusu gharama za usafiri wa ndege Dar to Songea. Amesema kuwa ndege za kawaida zinaweza kutumia mafuta ya milioni 28 kutoka Dar to Songea lakini ndege mpya za Bombadier Q400 zitatumia mafuta ya milioni 1 tu. Mimi sio mtaalamu wa ndege lakini taarifa imenifanya kufanya utafiti kidogo<br /><br />Katika kajiutafiti kangu nimegundua kiwango cha mafuta ya ndege kwa safari hakipo constant. Kinatofautiana kutokana na sababu anuai, kama vile aina ya ndege, umbali wa safari, uzito wa mzigo wa kwenye cabin, kimo kutoka usawa wa bahari, namna ya kupaa. Vyote hivi huchangia utofauti wa utumiaji wa mafuta ktk ndege.<br /><br />Katika hayo tuchukue moja la aina ya ndege na hayo mengi yawe constant (under ceteris peribus). Mkuu wa Kaya amesema "ndege nyingine" zitatumia mafuta ya mil.28 kutoka Dar kwenda Songea, lakini Bombadier zetu zitatumia mafuta ya milioni 1 tu. Tuchukulie mfano wa ndege aina ya Boeing 777 yenye uwezo wa kubeba abiria hadi 450 (mara 6 zaidi ya Bombadier zetu).<br />Umbali wa Dar to Songea kwa barabara ni maili 655 sawa na kilomita 1,054. Lakini kwa anga ni maili 364 sawa na kilomita 585. Boeing 777 inauwezo wa kukimbia kwa speed ya maili 590 kwa saa, sawa na kilomita 949 kwa saa. Kwahiyo ikisafiri kutoka Dar to Songea (kilomita 585) itatumia mwendo wa dakika 36 tu.<br />www.distancecalculator.net<br /><br />Mafuta ya ndege hupimwa kwa galoni (US Liquid gallon) ambapo galoni moja ni sawa na lita 3.7 za ujazo. Boeing 777 inatumia galoni 14.4 za mafuta kwa injini moja kwa dakika (1 lg/engine/minute). Boeing 777 ina injini mbili za "Rolls Royce trent 892" zinazotumia galoni 28.8 za mafuta kwa dakika moja (ingia hapa ). Hivyo basi kwa dakika 36 itakazotumia kutoka Dar to Songea itatumia galoni 1,036.<br />www.askcaptainlim.com<br /><br />Galoni moja ya mafuta (US liquid gallon) ina lita 3.7 za ujazo. Kwahiyo galoni 1,036 ni sawa na lita 3,836. Bei ya mafuta ya ndege (jet fuel) katika soko la Marekani ni dola 1.38 kwa galoni moja kwa bei ya September 1 mwaka huu. Kwa Tanzania sijui bei ni kiasi gani, lakini tukadirie ni mara mbili ya bei ya Marekani, yani dola 2.76 kwa galoni moja ya lita 3.7.<br />www.flightdeckfriend.com<br /><br />Kwahiyo tukitaka kujua gharama za mafuta ya Boeing 777 kutoka Dar kwenda Songea tunachukua galoni 1,036 mara dola 2.76, mara bei ya dola kwa leo ambayo ni TZS 2,182/=. Utapata Shilingi 6,239,123/=. Hii ndio gharama halisi ya mafuta ambayo Boeing 777 itatumia kutoka Dar to Songea.<br /><br />Maana yake ni kwamba Boeing 777 itatumia mafuta ya milioni 6.2 kupeleka abiria 450 Songea kutokea Dar.<br /><br />Sasa twende kwenye Bombadier zetu ambazo Mkuu wa Kaya amesema zinatumia mafuta ya milioni 1 tu kwa safari ya Dar - Songea. Bombadier Q400 inatumia mafuta ya milioni 1 kusafirisha abiria 75 tu kutoka Dar to Songea.<br />Kwahiyo kama kuna abiria 450 wa kwenda Songea, ndege ya Boeing 777 itawabeba wote na itakwenda mara moja tu kwa mafuta ya milioni 6. Lakini Bombadier itabidi iende trip 6 ndipo iweze kuwamaliza. Yani iende kwa mafuta ya milioni 1, irudi kwa mafuta ya milioni 1 (round ya kwanza), iende tena kwa mafuta ya milioni 1 na kurudi kwa mafuta ya milioni moja (round ya pili). Hadi round zote 6 ziishe Bombadier yetu itakua imetumia mafuta ya milioni 12.<br />Maana yake ni kwamba Bombadier itaenda round 6 na itatumia mafuta ya milioni 12, kubeba abiria walewale ambao wangebebwa na Boeing 777 mara moja tu na kwa gharama ya mafuta ya milioni 6 tu.<br /><br />NAOMBA NIONGEZEE FACT NYINGINE KUONYESHA KUWA MKUU WA KAYA ALIDANGANYWA. <br /><br />Kwa kutumia yale makadirio<br />1 US Gallon = 3.7 Lita <br /><br />Dhamani ya Dola ni Tshs 2,182 <br /><br />Kwahiyo, <br />Kama 3.7 Lita = 2.76 US Dolla<br /> 1 Lita = 0.8 US Dolla <br /><br />Kumbuka Bombadier Q400 inatumia Lita 7 @ Maili <br /><br />Dar to Songea ni 364 Maili <br /><br />Angalia hapa: <br /><br />LITA 7 × 364 MAILI × 0.8 DOLA @ LITA × 2182 TSH (Thamani ya Shilingi @ Dola) = 4,447,788.8 TSHS<br /><br />KWAHIYO; <br />GHARAMA YA NDEGE TULIYONUNUA KUSAFIRISHA ABIRIA 75 KUTOKA DAR - SONGEA KWA SAFARI MOJA TU NI 4,447,788.8 TSHS. <br /><br />Nani alimuambia Mkuu wa Kaya ni 1,000,000 TSHS?<br /><br /><br />ALIYEMDANGANYA MKUU WA KAYA AADHIBIWE....<br /><br />NAIPENDA TANZANIA NAWACHUKIA WAPIGA DILI.
Mkuu ni pm namba yako nikwambie ni nan jina linaanza na v
Huwezi mkuuu. May be umejipanga haswaa. From google acounts fake, sim card registration fake na coment zako fake plus username and friends fakeUnaweza kwa kuwa makin na unachokiandika
Hapana mi simo wala
Ndoo maana no body will remember your namehiyo ni misemo kaka,umshukuru Mungu maxencemelo nishujaa hakukubari kutoa ID zawatu,ingekua Lugha nyingine
Tochi ndo simu nzuri lwa usalama. Trust meUkiishi kizamani Usasa hautakukamata