Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Shida hiko hapa how do u justify... ni yeye aliyeweka bandiko??? Kwani mtu anaweza akakupm namba ya mtu mwengine....
 
Haha kwanini wasema hivyo ipramasaa
Ni kweli kabisa mkuu ulichosema,kuna Uzi apa ulirushwa na Dada mmoja akiomba msaada wa kutafutiwa kazi yeye ni Nurse Assistant level na anatafuta kazi mda mrefu sasa bila mafanikio akaweka picha yake pamoja na mawasiliano,nika comment kwa manufaa ya Wana-JF wenzangu kwamba wameshindwa kupata ID kwa Mello sasa mtazipeleka wenyewe,nashukuru leo britanicca umekuja na uzi namna hii,Wana-JF kuweni waangalifu.
 
Sasa kumbe kwanini mlimsumbya Maxence Melo wetu na njia za kuwapata mnazo?

cc: britanicca
Jf IPO secure kutokana na database yake kutumia POST ktk security so mamlaka ya mawasiliano kuna watu wapo Kyle sio wataalamu Bali wameajiriwa kwa sababu pengine ni wazuri katika maamuzi na wana experience makazini ndo wanapewa kazi lkn kiukweli hawana ujuzi na tehama ndio maana wanashindwa kufanya udukuzi mpaka wamkamate ......ni aibu lkn
 
Ni kweli kabisa mkuu ulichosema,kuna Uzi apa ulirushwa na Dada mmoja akiomba msaada wa kutafutiwa kazi yeye ni Nurse Assistant level na anatafuta kazi mda mrefu sasa bila mafanikio akaweka picha yake pamoja na mawasiliano,nika comment kwa manufaa ya Wana-JF wenzangu kwamba wameshindwa kupata ID kwa Mello sasa mtazipeleka wenyewe,nashukuru leo britanicca umekuja na uzi namna hii,Wana-JF kuweni waangalifu.
Hehe
 
Wakati watu mnatetea mkuu Mello kuendelea kutunza privacy za watumiaji wa jf,inavoonekana baadhi ya members humu wanatoa privacy zao pasipo wao kugundua ili hali wanataka zisiwe disclosed na mmiliki wa jf.

Kivipi?????
Kuna watu wanatoa matangazo ya kazi,wanatafuta wachumba n.k, sio kila mmoja ana nia ya kweli ya kutafta mchumba,kazi n.k kuna wengine wanataka kujua tu namba unayotumia then wanafanya for up ya post zako zote. Kwa hali hiyo uwezekano wa taarifa zako kuwa public utakuwa umezitoa mwenyewe. Huu ujinga wa kufuatana inbox kwa kukurupuka kutakuja kuwaponza siku Moja. Mwisho usimwamini kila mtu jf maana hunijui sikujui. Kwa mnaondanganyiwa mapenzi na Picha fake jf endeleeni kutoa namba zenu huko PM.

NB: Privacy inaanzia kwako mwenyewe.

Kumbusho: nawakumbusha tu kuwa hii siyo awamu ya NNE au ya Tatu. Ni awamu ya Tano.
 
Ahsante kwa kuwakumbusha Kuna watu wakisoma habari za papuchi na mipicha ya kike akili zinayumba,. Mfano mtu anatangaza kazi hatoi maelezo ya kutosha hata model ya maombi mtu anasema um pm, lakini watu wanatanguliza tamaa bila kuangalia upande wa pili.
 
Ok, hivi inawezekana kufuta akaunti uliyonayo hapa JF? Maana nahisi akaunti yangu haiko salama kabisa, kwasababu imejilog off lakini bado naweza kuposti na kukomenti ila inbox button na mengineyo havionekani.
 
duh! mm simu nnayotumia, simu ya jf,simu ya miamala ziko na namba tofauti kabisa...
 
Hakuna namna watakukosa wakikutaka.watz na mitandao bado kabisa.

Hili ni swala la kutumia akili za kawaida tu,lakini watu hawawezi.
 
Kama unafanya mema na yasiyoleta mtafaruku katika jamii, there is no need to worry.

Be wise, do things accordingly. Nobody will keep up with you. Hata kama ni kukosoa, kosoa kistaarabu.

Huwezi kufata maelekezo unayopewa kama una shida, kama mtu kasema ni PM.
 
Kama unafanya mema na yasiyoleta mtafaruku katika jamii, there is no need to worry.

Be wise, do things accordingly. Nobody will keep up with you. Hata kama ni kukosoa, kosoa kistaarabu.

Huwezi kufata maelekezo unayopewa kama una shida, kama mtu kasema ni PM.
Issue hapa sio aina ys uchangiaji. Issue ni aina ya post uliyoweka. Imegusa sehemu nyeti??? Kwani wanaotafutwa ni wale waliotumia lugha za kukashifu ktk uchangiaji wa mawazo???? No. Issue ni aina ya taarifa uliyotoa mfano Yale yanayoambatana na kanusho kutoka serikalini,Yale yanayoambatana na kutaja na majina ya wauza MADAWA ya kulevya,and things of alike.
Kama unafanya mema na yasiyoleta mtafaruku katika jamii, there is no need to worry.

Be wise, do things accordingly. Nobody will keep up with you. Hata kama ni kukosoa, kosoa kistaarabu.

Huwezi kufata maelekezo unayopewa kama una shida, kama mtu kasema ni PM.
 
hilo lina ukweli 100%, naishia hapo siongezi wala sipunguzi neno
 
...take it from me... you cannot hide, wakiamu kuku trackdown watakupata tu ...
Kwanini walishindwa kuwadabua wahanga wao waliowataka kwa njia hizo hadi wakaamua kumsweka ndani bw. Mello? Tukubali kuwa upo ugumu kumpata mtu kirahisirahisi. Mpaka utumie ujanja wa kum"haki" na kumhadaa.
Nitakubaliana kwa asilimia kubwa na alichoandika mtoa mada. Lazima utumie chambo za hadaa na vitamanishi ndiyo samaki atamanishwe na icho chambo umdabue, vinginevyo ni kazi kubwa.
 
Back
Top Bottom