Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Defenda imechelewa tukio la ujambazi wewe kwa jeuri yako chukua kopo la maji tupia mule kwa dereva. Ndo utajua la msingi na la chuo lipi??
Umeinaee sasa toa maana ya wana usalama sasa wa tz!!akili nusu nguvu kontena
 
Hizo ni mbinu za level ya chini sana kwasababu hizo mbinu zote ulizoeleza hazishangazi kana kwamba mtu amefikiria saaana/critically.
Nina imani hawa jamaa wakitaka kukuchungulia ni mara moja tu hasa ktk zama hizi za mitandao. Si ajabu hata unapotumia simu au computer ukachukuliwa image yako bila kujua.

Jiulize isue ya udukuzi inakuaje
 
Hizo ni mbinu za level ya chini sana kwasababu hizo mbinu zote ulizoeleza hazishangazi kana kwamba mtu amefikiria saaana/critically.
Nina imani hawa jamaa wakitaka kukuchungulia ni mara moja tu hasa ktk zama hizi za mitandao. Si ajabu hata unapotumia simu au computer ukachukuliwa image yako bila kujua.

Jiulize isue ya udukuzi inakuaje
Hizo ni level Nyingine hizo tuziache kwanza mpaka utafwe hivyo unakuwa umekithiri
 
  • Thanks
Reactions: SDG
tutachat,tutataniana,tutaflirt hapa and everything ila namba yangu sijawahi fikiria kutoa...
na wala mazoea ya kujuana sana NO...coz i trust no one...
labda uniloge kutumia avatar yangu[emoji27]...ila no way hutaweza pia[emoji38]..i gat Jesus...
I will catch you baby, I wanna put you in in my safe hands😎😎😎
 
Unaweza ukawa sasa kwa kiasi Fulani pia ni ushamba kwa MTU kutiririka detail zako kwa MTU ambaye umekutana kwenye mitandao au hata mtaani inashauriwa kumjua kwa undani zaidi pia usimwamini yeyote na kumpa taarifa zako ni sawa na issue ya cheti cha masomo sio kila MTU lazima akione
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom