Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Mkuuu, I know this is coming......lipo kwenye pipeline....vere vere soon.Hapa kuna problem! sisi tunapata hizi nyeti kila kukicha thanks kwa MM Mwanakijiji and co, lakini sadly mwananchi wa kawaida mwenye shida ya ku access net hajui kinachoendelea, There is a need for JF kuanzisha gazeti au Radio ya kuwaelimisha wadanganyika who needs this urgent outreach help!hawa ni wananchi ambao akili zimegandamana na wanahitaji msaada mkubwa sana wa kuwa empower! remember there is no room kwa udini!. Tunahitaji strategies za ziada kwa kuwaelimisha ndugu zetu wa vijijini.