Jinsi Richmond/Dowans walivyoizunguka TANESCO na Taifa

Hapa kuna problem! sisi tunapata hizi nyeti kila kukicha thanks kwa MM Mwanakijiji and co, lakini sadly mwananchi wa kawaida mwenye shida ya ku access net hajui kinachoendelea, There is a need for JF kuanzisha gazeti au Radio ya kuwaelimisha wadanganyika who needs this urgent outreach help!hawa ni wananchi ambao akili zimegandamana na wanahitaji msaada mkubwa sana wa kuwa empower! remember there is no room kwa udini!. Tunahitaji strategies za ziada kwa kuwaelimisha ndugu zetu wa vijijini.


Very practical idea!
 
Ninachotaka ni kuwa hata wakiwalipa wajue watu wakikasirika isije kuwa "kwanini wananchi wanakasirika". Walipe lakini wajue kwa kufanya hivyo wanawapa watu haki ya kuwachukia waziwazi.

MM ...swali la kizushi.... unaweza jibu kizushi pia

what come may hatujawalipa DOWANS.... je? kuna uwezekano DOWANS Tanzania wakawashitaki Richmond Development LLC kwa kuwarithisha mkataba na shirika tapeli (TANESCO) ambalo limevunja mkataba halafu likazulumu tuzo ya fidia ya kuvunja mkataba......
 
Mkuu mzee Mwanakijiji tunashukuru kwa elimu.

Tatizo la serikalini kama mliopo ndani mnanipata vizuri ....Kila kitu ni confidential....yaani sometimes mkurugenzi wa tanesco anaweza kuongea na waziri na kutekeleza jambo bila kuita management au kumshirikisha mwanasheria wa tanesco.....then ukiuliza utajibiwa this is confidential....mambo yanapozidi unga kama haya ndo wanasheria mnatumwa kwenda kupambana na kesi msiojua chimbuko lake halisi nini!!!!

Mi nadhani bunge likianza tuwe tunabadilishana kukesha pale nje ya bunge na mabango yetu yanayosema NO TO DOWANS!!
 
Hapa kuna problem! sisi tunapata hizi nyeti kila kukicha thanks kwa MM Mwanakijiji and co, lakini sadly mwananchi wa kawaida mwenye shida ya ku access net hajui kinachoendelea, There is a need for JF kuanzisha gazeti au Radio ya kuwaelimisha wadanganyika who needs this urgent outreach help!hawa ni wananchi ambao akili zimegandamana na wanahitaji msaada mkubwa sana wa kuwa empower! remember there is no room kwa udini!. Tunahitaji strategies za ziada kwa kuwaelimisha ndugu zetu wa vijijini.

yaani hilo ndio neno watu wengi sana wanapata habari za magazeti ambayo hayaandiki kwa kina mfano hii nyet1 aliyoweka mm hapa ingepewa nafasi kwenye magazeti ingekuwa safi sana
 
Thanx MM

Nachukia ufisadi kwelikweli. Hivi kijana Ngeleja Mganga anafikiri nini kuhusu hili?

Ana umri mdogo, madhambi haya ni makubwa na yatakaa karne nyingi bila kufutika ataficha wapi uso wake hapo baadaye?

Huyo kijana sura ya aibu kaiacha kwao siku nyingi mbona! hata umpake mavi usoni yeye kwenye kutetea ushwenzi wao bado atakupa pozi la Miss Tanzania akiwa anaamini hujampaka mavi bali ni pafyumu ya polo....
 
Huyo kijana sura ya aibu kaiacha kwao siku nyingi mbona! hata umpake mavi usoni yeye kwenye kutetea ushwenzi wao bado atakupa pozi la Miss Tanzania akiwa anaamini hujampaka mavi bali ni pafyumu ya polo....

:sad:
 
Ninachotaka ni kuwa hata wakiwalipa wajue watu wakikasirika isije kuwa "kwanini wananchi wanakasirika". Walipe lakini wajue kwa kufanya hivyo wanawapa watu haki ya kuwachukia waziwazi.

Mkuu, I really doubt kama kweli watalipa. Sebene ulilolizungusha Mwanakijiji kuhusu hii mada siyo dogo. Hofu yangu kwa sasa ni ile kauli ya kupunguza deni. Ambapo hatujui kama kupunguza ni kiasi gani, na kwamba mchakato huo utagharimu kiasi gani cha pesa, kama ambavyo wachangiaje wengine wamesema
 
Mzee, ASANTE SANA kwa kuweka bayana yale ambayo yalitutatiza muda mrefu. Nimekuwa nawaza inakuwaje MMJ, asiye na cheo serikalini, asiyekuwa kule Tanesco, asiyekuwa ndani ya ofisi za Attorney General, anaweza kupata taarifa hizi, eti na wale waliomo ndani HAWAWEZI, eti HAWAJUI, tena wako tayari kusema TUMESHINDWA na TUKIWEKA RUFAA tutashindwa. Uzalendo unaounyesha NI MKUBWA na nakushukuru sana. Wewe ni chachu ya ukombozi wa umaskini wa Tanzania. Asante sana

Pamoja na kutuletea hii, umenifanya nikumbuke posting nyingine iliyokuwa hapa ambapo Dowans anamshitaki Richomond kule Houston kwa kumzuia kuuza majenerata yake. Kuna baadhi ya madai kwenye kesi ile ambayo yanakazia hoja za mada uliyoiweka hapa.

Mzee- hii si tuipeleke kwewnye magazeti ya nyumbani ichapwe, basi hata kama vipi, tuichangie iwe Press Release!
 
Ingekuwa amri yangu, Ripoti ya akina Mwakyembe wangeruhusiwa wakaiandika upya, ikajadiliwa upya Bungeni na kwingineko. Huku kulindana kwa CCM na serikali yake ndiko kumetufikisha hapa.
 
Mzee, ASANTE SANA kwa kuweka bayana yale ambayo yalitutatiza muda mrefu. Nimekuwa nawaza inakuwaje MMJ, asiye na cheo serikalini, asiyekuwa kule Tanesco, asiyekuwa ndani ya ofisi za Attorney General, anaweza kupata taarifa hizi, eti na wale waliomo ndani HAWAWEZI, eti HAWAJUI, tena wako tayari kusema TUMESHINDWA na TUKIWEKA RUFAA tutashindwa. Uzalendo unaounyesha NI MKUBWA na nakushukuru sana. Wewe ni chachu ya ukombozi wa umaskini wa Tanzania. Asante sana

Pamoja na kutuletea hii, umenifanya nikumbuke posting nyingine iliyokuwa hapa ambapo Dowans anamshitaki Richomond kule Houston kwa kumzuia kuuza majenerata yake. Kuna baadhi ya madai kwenye kesi ile ambayo yanakazia hoja za mada uliyoiweka hapa.

Mzee- hii si tuipeleke kwewnye magazeti ya nyumbani ichapwe, basi hata kama vipi, tuichangie iwe Press Release!
Wanasema kwenye miti hakuna wajenzi, na kama wapo basi mijengo yao itakuwa mibovu.
 
Mwanakijiji,

Pamoja na makala yako ndefu, i have noted wewe sio mwanasheria au unauelewa mdogo wa sheria. .........

.....Kaka, you must read between the lines...! Indeed, hata ukiangalia issue yote hii ya Richmond utagundua kwamba watu wanaohusika, haswa wanasheria ni watu ambao ni very inteligent au ni watu wazoefu sana. So every word that was made or is made in any Richmond document or Dowans documents must be read with maximum caution.

MMM you never disappoint me!

Hawa wanaopima weredi wako kwenye sheria ni wale wale wanaotumwa kuhemea na hawarudi.
Ndio maana kuna tofauti ya gwiji wa sheria Prof. Shivji (mzalendo) na gwiji wa sheria Mh. Mkono au Chenge (watuhumiwa ufisadi Tz).

Hii kesi nasikia ilifanyika hapa Dar lakini kimya kimya, waliojua ni kundi dogo la watu.
Haikutangazwa kama ilivyokuwa ile ya City Water ambapo hata wanaharakati walihudhuria kuongozea nguvu utetezi wa serikali.

Hii kesi tusingepoteza kama ushiriki wa wazalendo ungekuwepo. Kinachooneka hapa ni kwamba walioiwakilisha Tanesco waliuza mechi mapema. Na kama Tanesco walikuwa wanania ya kweli basi wangepiga kelele "Jamani watanzania nina kesi huku naomba support"!!!
Tanesco alipaswa kujua sisi ni wadau wake wakuu na maamuzi ya kesi yangekuwa na athari za moja kwa moja kwetu.

Having said so: Naunga mkono mapendekezo yote 8 na hata kama ikishindikana basi hii kesi tuwarithishe watoto wetu ili hata tukiwa kaburini walipe kisasi badala yetu!!

Inauma sana
 
Sasa nimeelewa kwanini mwanasheria mkuu na ngereja wanashinikiza malipo yafanyike haraka, inawezekana kabisa wanapata shinikizo kutoka viongozi wa juu wa serikali kwamba kukiwa na ucheleweshaji na kuanza mjadala mkubwa kama huu basi mambo mengi yatagundulika na hata yale ambayo Dr. Mwakyembe na kamati yake waliyaacha kuyaandika yatajulikana kwa kila mtu. Ni ukweli usiopindika kuwa viongozi wa juu wa serikali yetu wana mkono wao kwenye haya malipo ya Dowans hivyo wanapaswa kuwajibika.
 
Kuna Mkuu mmoja amezungumzia Suala la usahaurifu kwa Watanzania, kwa kweli hilo lipo sana na labda watu wanasahau kutokana na ugumu wa maisha ama Tunasahaulishwa maksudi na serikali, na mara nyingi Serikali kwa kutumia vyombo vyake pamoja na CCM wamekuwa na Tabia ya Kuzua kitu kingine cha kuwachota akili Watanzania na wote kama mambumbumbu tunakimbilia kwenye issue mpya na kusahahu ile iliyokuwa ya muhimu na ya wazi kabisa.

Issue ya EPA, Zombe, Richmond na Nyingine nyingi watu walikuwa wanaziongelea na kesho serikali wanaleta kitu kingine kuua kile kilichokuwa Hot.

Kwa Dowans Napo wameanza na Mambo ya Katiba, Slaa na timu yako ya Chadema na wanaharakati wote hili suala sio la kuliacha tena, issue ya katiba itashughulikiwa kama hili litakavyoshughulikiwa, ule moyo wa HATUDANGANYIKI Haupaswi kuisha bila majibu
 
aahgrrrrrrrr!, nadhani mwanasheria mkuu huko aliko akiipata hii tumbo halitakaa sawa. Lakini anywayz ujasiri wa kifisadi huwapofusha kabisa hao watawala wetu.

Jitihada zifanyike tupate mkataba wa Richmond na Dowans
 
MM,
Utaniwia radhi kwa kuuliza tena na labda tena na tena. Nadhani ni jambo la kawaida na linalokubalika kwamba endapo mahakama imetoa uamuzi ambao wewe huridhiki nao, unaweza ku-appeal ili haki itendeke. Sasa nimewasikia Mzee Sitta na Dr. Mwakyembe wakieleza bayana kuwa Richmond na mrithi wake Dowans ni makampuni ya kitapeli. Binafsi siwezi kupuuza kauli za viongozi hao kwa sababu nina hakika wakati ule wa sakata la Richmond walipata fursa ya kujua mengi kuhusu utapeli huo kuliko hata walichokiandika na kusomwa bungeni. In other words, ninamchukulia Dr. Mwakyembe as a reliable source of data kuhusu utapeli wa hayo makampuni.

Sasa ninachojiuliza, ni je, kama kweli viongozi wetu ni wazalendo, walishindwaje kutumia fursa ya ku-appeal na kupeleka ushahidi mbele ya mahakama unaoonyesha kuwa dowans ni kampuni ya kitapeli tu. Ni kitu gani kimezuia Mwanasheria wetu asichukue hatua hiyo? Je, kipengele ulichogusia kwamba kumbe urithishanaji kati ya Richmond na Dowans ulifanywa kabla hata ya kufikia maridhiano kati ya Tanesco na Richmond, hakiwezi kuwa ni sababu tosha ya kuonesha utapeli wa Dowans? Je, tukiamua kama nchi kutolipa Dowans tutapata madhara gani ambayo wananchi wetu wa kawaida yatawaathiri zaidi ikilinganishwa na madhara watakayopata endapo serikali itajikamua na kulipa mabilioni hayo?

Mpendwa Gosbertgoodluck,
Nimebahatika kuona na kusoma maelezo ya ile hukumu kati ya Tanesco na Dowans na kukuta kipengele kifuatacho:Enclosure 1
Extracts from the power off-take Agreement dated 23rd June 2006
.Clause 14.1 (e): The decision of the arbitrator is final and binding upon the parties and shall not be subject to appeal,
kwa hili si kwamba hatuwezi kuappeal? Labda kama sijaelewa lugha za kisheria
 
Viongozi wetu wamekosa maadili na uzalendo katika kutetea maslahi ya taifa letu, hawana huruma na wanachopigania siku zote ni maslahi yao binafsi. Hakuna anayeweza toa tamko kali kwa wenzie kwani hakuna msafi hvyo kuhofia mambo yasije mgeukia.

Kuchoshwa kwa wananchi wa tunisia na misri mpaka imefkia nchi kukata mawasiliano watu wasipeane taarifa, nasi pia tunahitaji kuonesha kuchoshwa na serikali hii dhalimu isiyo na huruma hata kidogo.

Kila kitu kiko wazi tunasubiri nini kuitisha maandamano ya kitaifa ya kutokua na imani na utawala wa serikali yetu? Hili ndilo suluhisho badala ya kusubiri malumbano ya kisiasa na porojo bungeni.
 
Nikumbusheni jamani... hivi Grey Mgonja,Basil Mramba,Daniel Yona,Deogratius Kweka na Amatus Lyumba wana/meshtakiwa kwa makosa gani vile??

Na kwaNINI hawa wanashindwa kuwekewa kwesi kama hizi japo tunajua hawatafungwa??

1.Rostam Azziz (huyu tutamshtaki kwa maana tunamjua uhusika wake)
2.Edward Lowasa
3.Nazir Karamagi (mbuzi wa kafara)
4.Ibrahim Msabaha
5.Athur Mawakapugi
6.Hosea E.
7.Jonson Mwanyika
8.Dr. Idrisa Rashidi
 
[*]Watanzania wote wenye dhamiri njema wapinge kwa nguvu na namna zote malipo haya ya kidhalimu na kutaka wale wote waliojitokeza kuyatetea wawajibike wao wenyewe au wawajibishwe na vyombo halali. Malipo haya ni kinyume na maadili, ni ya kimabavu na yanadhalilisha utu wa Mtanzania.
[/LIST]
[/B]

Hilo pendekezo hapo juu limesheheni.... nimelipenda!

Ee bana kama noma na iwe noma tu....halipwi mtu hapa!

Screw ICC and its cronies - no matter what.
Sijui kutaifishwa mali zetu zilizoko huko nje, nchi kususiwa kibishara and all that bs.....give me a break!
Mali zipi? Kususiwa biashara zipi - hizi hizi za akina Dowans? Seriously?

JK & co wakilipa tu hizi hela....tunao!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom