Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,275
- 2,975
kenny mtanashati Unaendelea lini?
Mkuu leo jioni naiendeleza mkuu nilikuwa na majukumu toka juzi ila leo nipo freekenny mtanashati Unaendelea lini?
Hahaha leo usiku nitaendelea mkuuAkichelewa naiendeleza mimi mwenyewe alaa.
Tuambie kwanza hii sabuni umeogea mara ngapi tokea uwe mkubwa🙃🙃🙃Mimi Ni jini wako hapa JF
Kweli mkuu ila leo ntajitahidi niendeleeUkikaa mda need Bila kuiendeleza unawapa watu mashaka na story yko mkuu
Sijawahi ogea hiyo Sabuni tokea niwe mdada mkubwaTuambie kwanza hii sabuni umeogea mara ngapi tokea uwe mkubwa🙃🙃🙃View attachment 2017464
Mwishowe umemalizia km vile umepata ushindi wa kishindo. Hebu tuambizane nini ulikifanya hadi kupata ushindi kiasi kwamba hata wakija unawapa kichapo tuStory nisha imaliza huku juu[emoji115][emoji115][emoji115]
[emoji16][emoji16]ni kumuomba Mungu tu na husikia hitaji letuMwishowe umemalizia km vile umepata ushindi wa kishindo. Hebu tuambizane nini ulikifanya hadi kupata ushindi kiasi kwamba hata wakija unawapa kichapo tu
Me
Mkuu fungukaAcha masihara na majini wewe me kilinikuta kitu hicho stokaa nisahau usiku ulikua ukiingia niliona mchungu [emoji22] na chanzo cha tatizo ni simu yangu hii sina hamu mimi siku tatu mfululizo nilikiona cha mtema koko na sikumwambia mtu yeyote nilifanya maombi ambayo sijawah fanya tangu nizaliwe mpaka akaamua kuachana na maisha yangu huyo jini
Nilisha funguka huko juu [emoji115] [emoji115][emoji115]Mkuu funguka
Mkuu niambie@kenny mtanashati ?
Mkuu hii ulikua unatupa chai au?Mkuu niambie
Hapana mkuu ishu ni kwamba nimeamua kuacha kusimulia maana watu wanaojifanya wananijua kiundani wanaendeleza stori hapo juu na uongo mwingi nimewaacha waendelee kama wanajua vizuri hii stori yanguMkuu hii ulikua unatupa chai au?
Sasa Kenny kwani wewe ni mgeni hapa JF?Hapana mkuu ishu ni kwamba nimeamua kuacha kusimulia maana watu wanaojifanya wananijua kiundani wanaendeleza stori hapo juu na uongo mwingi nimewaacha waendelee kama wanajua vizuri hii stori yangu
Hapana mkuu jf nina zaidi ya miaka 3 hadi mda huu sema kuna mda watu wa humu wanazingua kinoma wanajifanya wajuaji mkuu hii kitu uwa inanikera sanaSasa Kenny kwani wewe ni mgeni hapa JF?