Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Acha kuonyesha unyonge wako kwake..

Binadamu tuna asili ya kufurahia watu wengine wakiteseka kutokana na kutokuwepo kwetu katika maisha yao, inafanya tujihisi sisi ni wa muhimu sana.

Kwa hiyo, kama umekuwa ukimuonyesha kuwa unaumwonyesha wewe ni dhaifu sana bila yeye ukiamini kwa kufanya hivyo utamfanya arudi, ndugu yangu huduma za kifedha utakuwa unajiumiza mwenyewe zaidi.

Nakomea hapa, ngoja niwaache na wengine wajazie nyama..

Kila lenye heri dada huduma za kifedha..
Ahsante sana mkuu kwa ushauri mzuri kweli nilikua namnyenyekea na kumwomba msamaha sana ila ni kama anafurahia nnavouumia juu yake.๐Ÿ˜ช
 
The hardest stage of moving on is not to forget someone but learning to live without them.

Umeweza kuishi mwaka mzima bila yeye, hiyo inatosha. Nadhani tatizo lako unatafuta mtu bora kuliko yeye bila kujicomit kwenye mahusiano. Usipoingia kwenye mahusiano hautakuja kumpata.

Give someone a chance, and get to know them well. They might be better than your X.

Ni mimi #MdakaChozi
Mkuu mahusiano sahivi naogopa yasije nikuta yale yale tena๐Ÿ˜ช moyo umekufa ganzi hivi
 
Pole sana kwa hisia kali za kutesa namna hiyo coz kwa binadam wa kawaida lazima ufeel hivo uukiachwa but ikiacha huez feel kitu hko but nnacho kushauri mkubalie huyo bwana anaekutongoza saivi afu mpe moyo wako akutunzie i guarantee that ni week 2 tu utapona lakini ukibaki unamuwaza afu masela wengine unawachomolea nje sababu ya huyo jamaa mmoja My Friend utatutukana wanaume wote kwa kosa la kwako pekeako la kusubiri meli airport
Dah sawa mkuu๐Ÿ˜ช
 
How am i going to pretend while it's killing me mkuu ๐Ÿ˜”
Mie naamini kwamba yeye pia aliwahi kukuudhi katika namna moja au nyingine kwenye mahusiano! Mchukie utapona haraka. Jenga hali ya kukumbuka mabaya yake utamsahau haraka mno na utapona katika speed ya ajabu. Fanya hivyo tengeneza hali ya kumchukia kuwa alikuumiza kwa abc sio mtu mzuri theres a better person than him will come!
 
Habari wakuu!

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช
Usijaribu kumsahau bali kukubali anahitaji furaha katika maisha yake...na furaha yake haitokani na wewe ..hivyo kama unapenda ustawi wa furaha yake kubali hilo kwa moyo wako nawe utapata amani. Kumbuka ubinafsi uliozidi ni adui wa maisha ya MTU mwenyewe.
 
Rahisi sn,futa kumbukumbu za vitu mlivyo share.
Mf; picha, vitu ulivyonunuliwa naye,namba za simu etc.
Me pia nimesalitiwa,njoo tushikamane tuoane Mungu akipenda.
 
Jitaidi kumtafuta mwanamke mnyongemnyonge kisha Date nae,, ila ukimpata akina mwajuma kamchachu watakufanya umkumbuke tena X wako..
 
Unatafuta Mpenzi Mwingine Utakaa Unatuma Messages Na Tule Tupicha Twa Kulia!!๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜€๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜
JPM
 
Rahisi sn,futa kumbukumbu za vitu mlivyo share.
Mf; picha, vitu ulivyonunuliwa naye,namba za simu etc.
Me pia nimesalitiwa,njoo tushikamane tuoane Mungu akipenda.
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Si ulikuwa unanichukulia poa, sasa nenda hata kwa mganga yeyote siwezi kurudiโ€ฆ. napewa masotojo huku nikumbuke nini?
 
Habari wakuu!

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช
Pole sweetheart. If you slept together, that's a grave mistake. Don't repeat this. Cha kufanya, go to school (such as further studies as the case may be) or professional certifications. At the same time, find at least two part time jobs or business. Wiki moja tu inakutosha kumsahau na kumuona he was a wrong choice
 
Back
Top Bottom