Extramiles 2010
Member
- Jan 6, 2010
- 6
- 0
Habari wadau wa forum,
naomba kujua nawezaje kuuza ideas?
je ni lazima niwe kwenye registered company or agency?
maana ilishatokea nikaandika PROPOSAL ya kuhusu TV show na kupeleka TBC but mwisho wa siku sikupata any feedback na kibaya zaidi wanaitumia idea yangu,kuna kipindi kipya kinachoshika umaarufu kwa kasi,its my idea.
nilivyofuatilia kwa mtangazaji mmoja ambaye nina ukaribu nae akaniambia ukweli kwamba kama haipo registered ni UMELIWA.
ndo hivyo wadau naomba ushauri.
naomba kujua nawezaje kuuza ideas?
je ni lazima niwe kwenye registered company or agency?
maana ilishatokea nikaandika PROPOSAL ya kuhusu TV show na kupeleka TBC but mwisho wa siku sikupata any feedback na kibaya zaidi wanaitumia idea yangu,kuna kipindi kipya kinachoshika umaarufu kwa kasi,its my idea.
nilivyofuatilia kwa mtangazaji mmoja ambaye nina ukaribu nae akaniambia ukweli kwamba kama haipo registered ni UMELIWA.
ndo hivyo wadau naomba ushauri.