Paspii0
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 638
- 1,038
Kwa uelewa wangu mdogo ,Alla inamaanisha ni Mungu kadiri ya dini ya Kiislamu, na pia wakristo wanajua mtu hawezi kujiita Mungu ni kosa!, maybe unafanya mzaha haupo serious kama ilivyo desturi yenu Gen ZKwanini??Hilo sio jina la mtoto wa kiume linaloanza na A"