Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,163
- 28,807
Kwa majina naitwa Kidinye Kidinyua
Ahsanta
Ahsanta
Hakuna mtanzania anaitwa Anderson pole sana
Naitwa Gwakila Mkude Simba naatokea Matombooo
a.k.a Cole Peiffer, mzee wa Sona. :A S 109:mimi naitwa Theodore Bagwell(T-Bag) ukitaka kunijua zaidi tafuta Movie ya Prison Break utaniona sawa ndugu Grace aliyejaaliwa UMBEA
Jamani humu wengi tunatumia majina feki je jina lako kamili ni nani?
Mimi langu ni GRACE ANDERSON.
haha hapo kwenye red kama ni lako nahisi inabidi uandamane..
Mamndenyi au Mama Mushka.
Naitwa Beatha KunaUboo
Mi ntakuja hadharani hapa ooh!
Naitwa Beatha KunaUboo