Jina lako kamili ni nani?

Jina lako kamili ni nani?

Badili tabia ndo jina langu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
My name is Utafiti, napenda wali, chips kuku na soda napenda sprite
 
naitwa excel superb,

mkazi wa tarime kanda maalum ya kijeshi, KJ 324,

nina miaka mingi si haba, bado sijaoa, nasubiri katiba mpya iruhusu uraia wa nchi mbili kwanza..

nakula milo nane kwa siku.. sina mpango wa kuhama jeshini..

asante..
 
Baada ya kuweka majina yetu utatuambia tena tuatach paspot size!

kama unataka utufahamu vizuri, kwakweli tuache tu na haya majina yetu tunayoyapenda. Wazungu wanasema "Give a him a mask and he will show his true face"
mimi kweli ni country boy; do you want to love me?
 
Kiboko Mkali ndo jina langu.
Natokea Afghan.
Dini Mkristo
Nakula milo mitatu
 
mimi naitwa Theodore Bagwell(T-Bag) ukitaka kunijua zaidi tafuta Movie ya Prison Break utaniona sawa ndugu Grace aliyejaaliwa UMBEA
 
tutaamini vp kuwa wewe ndo grace? Anyway mi naitwa Kulwa Doto
 
Namsubiri kwanza ndugi yangu y-n ajitambulishe.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: y-n
Wewe grace kweli uko hot
Anyway umejaaliwa nini ma..t.a.K..o
 
Shiochwang Jong ban
Vp unataka na passport.?
Una ham ya kujua Uraia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom