Jina lako kamili ni nani?

Jina lako kamili ni nani?

naitwa NYANCHUBWICHUBWI MAFUMUKE.....natokea mkoa wa mara....majita....baba yangu ni mganga wa jadi...mtaalam yaani...asantee
 
Chilambo Chinahukuta Nchidwidwi, hapo vipi?? Hakuna imported hata moja
 
naitwa NYANCHUBWICHUBWI MAFUMUKE.....natokea mkoa wa mara....majita....baba yangu ni mganga wa jadi...mtaalam yaani...asantee

haha hapo kwenye red kama ni lako nahisi inabidi uandamane..
 
nchumali njia panda hapa nawakilicha pande jza new wall a.k.a newala
 
Naitwa Poly,
mi ni mtazania
nizaliwa moshi kcmc mjijin kabisa. Nipo hapa kutafuta mke, Kuhusu kazi,na maduka mangapi?, naendesha gari gani navinginevyo nicheck pm. Ila nilikua na swali, ivi grace umeolewa.?
 
Naitwa Poly,
mi ni mtazania
nizaliwa moshi kcmc mjijin kabisa. Nipo hapa kutafuta mke, Kuhusu kazi,na maduka mangapi?, naendesha gari gani navinginevyo nicheck pm. Ila nilikua na swali, ivi grace umeolewa.?

Umekuja vibaya ww
 
naitwa ضليقخر ليصكؤىخثك
 
Please anybody who believes from the heart that there are profits/benefits for us THE PEOPLE in this East African Federation thing, please use this place to convince me, I badly need to take this in, as it is here, with us, I need to, I have to know it, (not the political side only).

THANK YOU FOR YOUR TUITION!!!

Weuweee. .poa tu.we nbanie tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom