assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
BAADA ya watu kumzushia maboa mengi ndani na nje sasa watu wameamua kutumia jina lake kutapeli watu
hivi ndivo inavoonekana kwenye blog yake ; mti mzuri nimeaamini....
*****MATAPELI WAIBUKA UPYA -CHUKUA TAHADHARI ********
Narudi tena, Sihusiki na mfuko wa mikopo unaotangazwa kupitia Mitandaoni. Sijaanzisha ZittoKabwe Foundation. Puuzeni watu wanaotangaza mikopo kwa jina langu. Nimejulisha tena vyombo vya dola suala hili ili kukamata matapeli wanaotumia jina langu kuibia Watanzania.
Wanatumia akaunti feki cc picha
hivi ndivo inavoonekana kwenye blog yake ; mti mzuri nimeaamini....
*****MATAPELI WAIBUKA UPYA -CHUKUA TAHADHARI ********
Narudi tena, Sihusiki na mfuko wa mikopo unaotangazwa kupitia Mitandaoni. Sijaanzisha ZittoKabwe Foundation. Puuzeni watu wanaotangaza mikopo kwa jina langu. Nimejulisha tena vyombo vya dola suala hili ili kukamata matapeli wanaotumia jina langu kuibia Watanzania.
Wanatumia akaunti feki cc picha