BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,695
- 17,262
Habari za wakati huu ndugu zangu katika jukwaa hili?
Hivi ni sahihi hii timu kuitwa Kilimanjaro stars ilhali jina kilimanjaro linawakilisha mlima na mkoa? Inaleta contradiction.
Kwanini kama lengo ni kuutangaza mlima isiwe specific timu ikaitwa Mount Kilimanjaro Stars kuliko hivi sasa ambapo timu haieleweki kama ni ya Tanganyika au mkoa wa Kilimanjaro.
NB: Sina ugomvi na Wachaga na watani zao Wapare kwahiyo sitegemei uzi uanzishe vita vya kikabila katika michango yenu.
Hivi ni sahihi hii timu kuitwa Kilimanjaro stars ilhali jina kilimanjaro linawakilisha mlima na mkoa? Inaleta contradiction.
Kwanini kama lengo ni kuutangaza mlima isiwe specific timu ikaitwa Mount Kilimanjaro Stars kuliko hivi sasa ambapo timu haieleweki kama ni ya Tanganyika au mkoa wa Kilimanjaro.
NB: Sina ugomvi na Wachaga na watani zao Wapare kwahiyo sitegemei uzi uanzishe vita vya kikabila katika michango yenu.