Barya
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 950
- 1,190
Unaona wewe ndio hujafanya tafiti ila unakuja kumsemeha hapa kujaribu kumsafisha! Kilichokuwa kimeandikwa hapo hakuwa na neno "KWA MSAADA"ilikuwepo anwani ya Jimbo la Bukoba mjini,kitu ambacho jimbo kuchukuliwa na rwakatale halibadilishi jina la jimbo wala anwani ya ofisi ya jimbo!
Sasa Kwanini Iendelee Kuwepo Anwan Hyo Wakat Mtoaj Anajulikana?