Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Angefanya hayo hakika asingekosa ubunge Huyo kajisahau Kama highness kiwia imekula kwao.
Kama amenyang'anya Ambyulensi basi ubongo wake unaweza kuwa na mushkelihuyo ni mbunge mjasilia mali na sio mbunge mtumishi.any way hayo uliyoorodhesha anaweza fanya hata asipokuwa mbunge. ingawa nasikia kaanza kunyang'anya ambulensi ya wagonjwa...
Kwanini Sasa Aendelee Kutoa Misaada Kwa Wanafiki,
Anaweza kuendelea kutoa misaada hata asipokuwa mbunge.
Nina miaka kama kumi hivi sijarudi nyumbani bukoba kwa sababu wahaya ni watu wa ajabu sana.....huyu mtu walimtoa alipokuwa CUF.....baada ya kumkojolea mwandishi na kumpiga vibao....leo eti karudishwa......tatizo wasomi wahaya wamekimbilia dar.....buhaya sio kama ya zamani.....jinga sana Muganyizi Lwakatale
Huyu Lwakatare Alipewa Ubunge Akachangisha Ela Eti ABANA BASHOME akaishia kula ela bila kufanya chochote miaka ile, sasa ndo mmemrejesha
nimekwambia nimesikia sina cha zaidi...
Angefanya hayo hakika asingekosa ubunge Huyo kajisahau Kama highness kiwia imekula kwao.
Tatizo letu wananchi tumeamua kwa makusudi kubadilisha majukumu ya mbunge kutoka kuwa mwakilishi wetu na kumpa majukumu ambayo yanapaswa kutekelezwa na wale tuliowapa dhamana ya kukusanya kodi.Binafsi siamini kama kusomesha wanafunzi ni jukumu la mbunge. Kama ni jukumu lake basi alipe ada kwa wanafunzi wa jimbo zima.
Mbunge Sued Kagasheki,
1. Mikopo Kwa Kina Mama,
2. Vijana Wanapatiwa Pikipiki Kwa Kurejesha Ela Taratibu, Mwaka Huu Kawapatia Pikipiki 300,
3. Ukarabati Wa Hospitali Ya Mkoa Na Kuwapatia Ambulance Na Kugharamia Mafuta Yake,
4. Bill Ya Umeme Ya Hospitali Zote Na Vituo Vya Watoto Yatima Bado Analipa Yeye
5. Kuwapatia Fursa Vijana Kucheza Ligi Yenye Thaman Ya Mil 35 Kwa Miez 6,
6. Kubadilisha Furniture Za Shule Zote Za Serikali Kila Zinapochakaa
7. Katoa Fursa Ya Ajira Kupitia Vick Fish,
8. Kapambana Na Fisad Aman Anatory Katika Sakata La Viwanja Bukoba
9. Kina Mama Wamepewa Fursa Ya Ufugaji Kila Mama 5 Ng'ombe 1 Bule
10. Kuweka Mitego Ya Radi Kila Shule Kuzuia Vifo Vilivyotokea Siku Za Nyuma, Kaweka Tv Na Umeme Shule Zote, Na Kujenga Darasa Moja Moja Kila Shule,
Je Mlitaka Afanye Nin Zaid Ya Icho? Pia Mmelalamika Eti Anaweza Chukua Ambulance Alizogawa Hospitalin, Nahs Dhana Ya Mabadiliko Hamkuielewa
Sidhani kama ana moyo huo...ni selfish! Kama anadiliki kuondo vitu alivyokuwa ameweka maana yake hakuwa na dhamira ya dhat kama mwanabukoba bali kama mskatonge na umarufuu
hakuviondoa ebu fanya tafit,
Picha hii hapa ya Ambulance,ila kama haitoishi aliwakata umeme kwenye vibanda vya sokoni pale kashai na kurejesha tv aliyokuwa pale uwanja wa uhuru moja ya open space...huyu ndio kiongozi aliyewahi kuwa waziri na mwenye umri kidogo jua limeenda...
Tunashukuru kwa huu ufafanuzi, nilishangaa balozi Kagasheki anyanganye ambulance eti kisa kashindwa ubunge??Ambulensi Hajanyang'anya, Watu Wahongo, Kafuta Neno IMETOLEWA NA MBUNGE WA BUKOBA MJINI, KAWEKA IMETOLEWA NA KHAMIS KAGASHEKI
Hiyo Wanafuta Neno KWA MSAADA WA MBUNGE WA BUKOBA MJINI, WAMEWEKA KWA MSAADA WA KAGASHEK NA IKABAK KUFANYA KAZ