Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728


Aiseeeeeeee hiyo ilikuwa zamani kwa Usawa huu uchafue meza hivyo
Mkuu ukija kwangu na mm nitakupikiaDah! Kweli watu mmeamua, hongera sana inapendeza mwanaume kupika.
Pampula unajua kupikaNdio nimeingia magetoni hapa
Mda si mrefu nachakata njegere,mchicha na wali





Naona unataka kunitoa Ngeu sitoboi aiseeeeee.Zero iq na atoto leo lazima kinuke
Hili toto litachukua miaka milion kupata mzee kama mimi
Msiniulize majani ya chai ya nini kwani wali ukiweka majani haiwi pilau ngoja nitestView attachment 1170586







Teh ....Naona unataka kunitoa Ngeu sitoboi aiseeeeee.![]()
Mikoani ndio wapi maana hata huyu anatokea DomYaani hako kaugali unaalika hadi na majirani!! Huku mikoani hiyo ni chai tu tena ya mtu mmoja na iwe dona.
Angalau uwe na demu wa kukupikia na kukuliwazaKwani kuwa na mke ndio kipimo cha dushe kufanya kazi mkuu
Hahaha....nakufahamu vizuri babe,Kwamba mimi sijui kupika? Ipo siku nitakuspoil na misosi wewe utarudi kwenye hii post kuniomba radhi![]()
Labda tusaidiane wawili.Kwamba mimi sijui kupika? Ipo siku nitakuspoil na misosi wewe utarudi kwenye hii post kuniomba radhi![]()
Hahaha acha kabisa nipo njema sana sekta hiyo...Pampula unajua kupika![]()

Ugali umeisha au umebaki jamani
Si unaona mambo hayo kitu kitatoka mda si mrefuPampula unajua kupika![]()
Kwangu ni vya udongo tupu ,achana na plastic nunua udongo mkuu kama upo dar fika manzese ni cheap sana kuleHaviepukiki