Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,197
Hili gari limejaa acha nishuke kaa kwenye siti yangu wewe.
Hili gari limejaa acha nishuke kaa kwenye siti yangu wewe.
Ulinunua bei gani?Daaah! Shukrani sana kwa ushauri wenu, tayari nishapata hasara itabidi ninunue jiko lingine maana hili napata wasiwasi kama linaweza tumika tena kwa kifupi sina imani nalo.
Hili gari limejaa acha nishuke kaa kwenye siti yangu wewe.
Mkuu hili original linapatikana wapi?HITACHI is the best of all..
west point ni km sh ngp mkuuKweli kirahisi ni ghali siku zote.
hayo majiko ya vioo yanacheza kwenye 8000-95000. West point sio kila mmoja anaweza kuyanunua.
Na hayo yanapendwa kwenye usafi ukilifuta wauzaji wanakuakuambia linan'gaa tofauti na mengine.
Yanapatikana wapi haya mkuuNinalo toka mwaka 2013
Halina brand name? possibly fake.Ni haya majiko mapya yaliyotoka hivi karibuni mkuu.
Shida kubwa inakuwaga ni hiyo hata mm imewahi kunitokea ila ni fault ya house gal aliwasha moto haukuwaka kumbe gesi ilikuwa inatoka mwsho likapasukaNaona haya majiko yana tatizo,langu jana limevunjika kioo baada ya kupika.
Nimefuatilia kumbe clamp moja inavuja gesi.
Kama unalitumia vizuri litadumu na kama unalitumia vibaya halitadumuTatizo mnanunua majiko ya bei rahisi..... Nunua jiko la westpoint original..... Apo ni mkataba.... Mi ninalo mwaka wa tatu Sasa Na bado jipyaaa.... Ila chunga usinunue fake..... Ikiwezekana kanunue kwenye maduka yao ya westpoint