- Thread starter
- #101
Ndio kutoka China, bei ilikuwa 110k, nilichukua katika duka la vyombo vya ndani.Mkuu ni mali kutoka China ?
Ulinunua wapi ? Kwa chinga au kwa franchise holder ?.
Bei gani ?
Ndio kutoka China, bei ilikuwa 110k, nilichukua katika duka la vyombo vya ndani.Mkuu ni mali kutoka China ?
Ulinunua wapi ? Kwa chinga au kwa franchise holder ?.
Bei gani ?
Halikuwa na brand name na walinihakikishia kuwa ni bora zaidi ya West point.Halina brand name? possibly fake.
Kazi yake unajiselfie wakati unapika kama Faizza Ally anayejiselfie wakati anakata gogotop ya juu kwenye mafiga ya jiko badala ya metal/aluminium wao wameweka kiooo
Vyema. Kumbe hukununua kwa chinga. Lirudishe dukani watajua la kufanya. Lako sio tukio la kawaidaNdio kutoka China, bei ilikuwa 110k, nilichukua katika duka la vyombo vya ndani.
Sio kweli mimi nilipewa jiko original na mzungu ambalo alitoka nalo US ila mwisho wa siku lilikuja kuburst kama la huyu jamaa. Kuna sababu nyingine ila sio kuwa ni fakeTatizo mnanunua majiko ya bei rahisi..... Nunua jiko la westpoint original..... Apo ni mkataba.... Mi ninalo mwaka wa tatu Sasa Na bado jipyaaa.... Ila chunga usinunue fake..... Ikiwezekana kanunue kwenye maduka yao ya westpoint
Gesi aina harufu! Ili kumfanya binadamu asikie wakati inavuja wazungu wakaiwekea harufu kama yai viza hili tuweze kuokoa maisha na maliUtakuwa hukukaza clamp vizuri gesi ikawa inavuja. Ila gesi imechanganywa na harufu flani hivi, ikivuja tu utaisikia hiyo harufu. Eitther kulikuwa na leakage kwenye piping ya hilo jiko
Acha kabisa kuna brand ya total, ninalo toka 2013 mpaka leo halijawahi zingua chochote.Brand ya ZEC/BOSS nayo mruuua zaid ya Westpoint wakuu.
Yanapatikana wapi mkuu na kwa bei ganiIla mm mchina nimemkubali tu kwenye majiko yake ya energy sever. Yaan nipo tarrif 4 natumia jiko la umeme kwa kila kitu, gesi inakuwa kama sub, nalipa elf 9 kwa mwezi. Yanasev umeme kwa asilimia 98
Kwa majibu Haya Namuomba Mungu aniepusheie mbali mawazo ya kununua majiko ya gesi.Tena kawaida shukuru Mungu, hivyo vioo vinapasuka na kuruka yaani ni hatari utapoteza Macho.
Sifa ya kioo kinaposhika moto unajuwa? Una Bahati kweli huo moto ungeshika mpira unaopitisha gas ingekuwa hadithi nyingine nyumba nzima
Bila kusahau HOME BASE ... Ni bora sana mkuuWest point ninalo mwaka wa tatu pia, liko vizuri halijawahi sumbua
Kuna kitu kama mafuta yalikuwepo juu ya hicho kioo ndiyo ambayo nayo yaliwaka Au ulifanya Usafi na kitu ambacho kiliharibu uimara wa Kioo.............!!!
Kampuni gani ni zuri ?Pole sana ungetuambia ni ya kampuni gani tusije ingia mkenge mkuu