- Thread starter
- #61
Hili jiko ni automatic kuna muda huwa linasumbua kuwaka hivyo natumia kiberiti.Hizo njiti hapo ulikuwa unawashia au..manake hayo majiko no automatic ignition hayahitaji kuwashwa kwa njiti.
Hili jiko ni automatic kuna muda huwa linasumbua kuwaka hivyo natumia kiberiti.Hizo njiti hapo ulikuwa unawashia au..manake hayo majiko no automatic ignition hayahitaji kuwashwa kwa njiti.
Nani atanipatia fidia ni muuzaji au TBS?Mlaji unapaswa kutoa taarifa kwa mamlaka zinazohusika ikiwemo TBS , na kiuhalisia unapaswa upewe fidia hii ni kutokana na kumlimda mlaji.
Nenda peleka ushahidi wako TBS watakupatia utaratibu
Wakikujibu nitag.Hicho kioo kinakaa wapi na kazi yake nini?
Nimejifunza kitu juu ya ununuaji wa hivi vitu.Umakini muhimu, afadhali angepata refund, sio kwa moto huo..
Kioo kinarahisisha kusafisha. Unaweza tumia ile dawa ya kufutia vioo kuondoa mafuta na mabaki ya chakula kwa urahisi. Lakini pia ni kwaajiri ya kupunguza risk ya kutu maana jiko likiwa linalowa muda wote linakuwa lina weka unyevunyevu na kutengeneza kutu.Najiuliza hicho kioo cha nini? Kinaongeza nini kwenye ufanisi wa jiko? Kingekuwa kioo cha maana hilo jiko lisingeuzwa 80,000!
But uzuri wa gesi ikiwa inavuja utasikia harufu yake katika chumba cha jiko imetapakaa. Ni ngumu gesi kuwa inavuja halafu usijueHeri yako wewe limeka 2 months,kuna jirani yangu kalishusha tu kweny bajaji.Kafunga mtambo,kuwasha akaweka sufuria la maji kuzindua jiko.Kilichofuatia ni vioo kuruka ruka juu na jiko likiishia hapo.Bila ajizi akalipakia na kurudi dukani,nachokumbuka mwenye duka alielewa kwa haraka sana.
Na tahadhali pia kwa wale tunaopenda kuamini sana hay auto hakikisha unazima huku kwenye mtungi na si kufunga jiko peke yake.Kuna baadhi utahishi umelifunga na bado linatoa gesi hasa yakiwa yamekaa muda kidogo.Tuelekeze hata watu wetu katika kuzima hayo majiko.Pole ndugu kwa hasara hiyo.
Quality aluminium au stainless steel inasafishika kirahisi tu. Sijaona shida yoyote kusafisha jiko la bati tena jeupe.Kioo kinarahisisha kusafisha. Unaweza tumia ile dawa ya kufutia vioo kuondoa mafuta na mabaki ya chakula kwa urahisi. Lakini pia ni kwaajiri ya kupunguza risk ya kutu maana jiko likiwa linalowa muda wote linakuwa lina weka unyevunyevu na kutengeneza kutu.
Ni kweli, tuna kaa na watu tofauti hapa duniani.Ni vyema kuelemisha watu,wewe umejua wengine hawajui amini katika hivyo.Kuna watu hawawezi tofautisha harufu na pia harufu mpaka mtu aihisi inategemea na utashi wake kwa huo muda.But uzuri wa gesi ikiwa inavuja utasikia harufu yake katika chumba cha jiko imetapakaa. Ni ngumu gesi kuwa inavuja halafu usijue
Bora hilo kuna moja lilitoka Makonde likadondoka chanika kwa Rais.Kuna siku mtungi wa gesi ulifyatuka hapa bunju ukaenda kutua tegeta
Ninalo toka mwaka 2013HITACHI is the best of all..
Hahahahaaa sio fix mkuu cha ajabu ulienda kujichimbia ardhini bila kulipuka japo ulichomoka kwa kelele nyingi sanaBora hilo kuna moja lilitoka Makonde likadondoka chanika kwa Rais.
Uache fix mzee.
Kuna siku mtungi wa gesi ulifyatuka hapa bunju ukaenda kutua tegeta
Bora hilo kuna moja lilitoka Makonde likadondoka chanika kwa Rais.
Uache fix mzee.

Majiko ya gesi yaliyokuja vizuri ni zile Nikai za mwanzo za JapanNi haya majiko mapya yaliyotoka hivi karibuni mkuu.
Kile kioo kiko pale juu karibu na plates ila imecover sehemu kubwa, na ni urembo tu hakina kazi nyingine.Hicho kioo kinakaa wapi na kazi yake nini?
Majiko ya gesi yaliyokuja vizuri ni zile Nikai za mwanzo za Japan
Nitanunuaje jiko la gesi eti lina kioo chembamba kabisa juu...wakati mara nyingine unaweka sufuria nzito na kubwa.
Hii michina feki itamaliza watu.