Jiji limemshinda William Lukuvi?

Yooooote sawa, lakini Mayor wa jiji na wale ma-mayor wa manispaa zote tatu na madiwani wao wanafanya nini ????
 
Ndugu zangu,nenda mahali popote duniani kaangalie wapi siasa ilifanikiwa kutawala pasipo kuwa na watendaji,Lukuvi si mtendaji ni mwanasiasa mwenzetu huyu,Kumbuka anawaongoza watu wajanja zaidi yake pia ikumbukwe kuwa hii ni 2010 wamachinga wanajua pa kuibania serikali ndio maana wanafanya watavyo mkiwatimua fainali octoba kwenye karatasi ,Ombaomba wanamjua toka Dodoma wanajua hana jipya ndio maana kusikia kahamishiwa Dar hao wakaanza kutumiana nauli Agwee Mjomba ameletwa Jijini njooni hana shida.juzi kati nilimuuliza ombaomba pale Faya humuogopi Mkuu wa mkoa akanijibu ANU LUKUVI MJOMBA WESU.....
 
Ndugu zangu,nenda mahali popote duniani kaangalie wapi siasa ilifanikiwa kutawala pasipo kuwa na watendaji,Lukuvi si mtendaji ni mwanasiasa mwenzetu huyu,Kumbuka anawaongoza watu wajanja zaidi yake pia ikumbukwe kuwa hii ni 2010 wamachinga wanajua pa kuibania serikali ndio maana wanafanya watavyo mkiwatimua fainali octoba kwenye karatasi ,Ombaomba wanamjua toka Dodoma wanajua hana jipya ndio maana kusikia kahamishiwa Dar hao wakaanza kutumiana nauli Agwee Mjomba ameletwa Jijini njooni hana shida.juzi kati nilimuuliza ombaomba pale Faya humuogopi Mkuu wa mkoa akanijibu ANU LUKUVI MJOMBA WESU.....

Ukweli ni kuwa wanasiasa ni mabosi wa watendaji wote kwa kutumia turufu yao ambayo kimsingi sikubalini nayo ya 'ridhaa ya wananchi'. Hivo bana mwanasiasa is the boss but he knows nothing, and he doesn't admit this fact.

Hapa ndio wengine tulishaona msingi mzima wa kukosekana kwa maendeleo ktk taifa letu. Unahitaji engineer kujenga daraja, unahitaji mwalimu kufundisha watoto wetu, unahitaji mhasibu kuandaa paycheq za watu etc. Lakini on top of them una mtu who knwos nothing ndie ana-call the shots. Je tutafika? La kusikitisha ni kuwa tunao wanasiasa njaa, wanaolindana na wasioambilika. At least nchi zilizoendelea wana good political system inayohakikisha healthy check and balance kwenye kudecide mambo.
 
Wengi wao hata wasaidizi nadhani wanaandaa mipango ya kampeni

Haswa!
Huyu haukuitwa kuja kusafisha jiji, wala nini ameitwa mahsusi kuja kuhakikisha CCM inapata viti vyote uchaguzi ujao, kwa hilo anawaeza na sina shaka nae.
Blame the system or anything else, but there is a system. System yenyewe ina fikiri mbali miaka mitano ijayo baada ya uchaguzi, na wanajua nani 'analiweza' jij, japo inawezekana mitazamo yao na yako ikapishana.
Kwa mtazamo wa hio system Mheshimiwa analiweza jiji kabisa.
Nyie wakazi jipangeni, mpunguze kutoa na kupokea rushwa bila mpango msafishe jiji.
 
Back
Top Bottom