Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Uchafu uliokithiri jijini,
Msongamano wa magari unaokera,
Ongezeko la Ombaomba Barabarani,
Kuongezeka kwa watu wanaofanya biashara kwenye maeneo mbalimbali kiholela mfano Manzese, na sehemu kadhaa za barabarani
Pamoja na mengine mengi....Ni ishara kuwa Jiji hili limemshinda Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Isimani?
Ha ha ha ha. Ni mmoja wa wale waliotajwa katika kile kitabu cha mafisadi wa elimu!! Ngoja ni break kidogo nirudi ninukuu wasifu wake toka ndani ya kile kitabu nitumbukize hapa!!