TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,885
- 11,268
haina kwere mkuu... mimi nadhani tunaweza kupunguza idadi ya viongozi na tukafanya vizuri zaidi, tena tungeanza na wakuu wa mikoa... they are not importantohh! sorry.Lakini hii ndio lifestlye yetu ya kujibu kwa maswali.No wonder jiji linanuka kwa ajili hii.
But am sore nilivosoma post yako i though you know much than me kuhusu madaraka ya ukuu wa mkoa wa Dar.Na ndio maana nikataka kukudadisi ili unifafanulie.
Ila mimi nijuavyo Mkuu wa mkoa ana mamlaka juu ya wakuu wa wilaya na anaweza kuwatuma akiwa pamoja na meya.
sore again for disturbance.