atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,552
- 9,806
Ohooo hapo sawa. Aisee wewe kumbe ni mtekeleza ahadi maana unakumbuka kitu ambacho nilishasahau. Thanx
Bado sijaitekeleza ahadi ila naikumbuka sanaOhooo hapo sawa. Aisee wewe kumbe ni mtekeleza ahadi maana unakumbuka kitu ambacho nilishasahau. Thanx
Naamini utaitekeleza
Ni kweliArusha ni mji mzuri kuliko wowote Tanzania
A.city, Arachuga, Half London, Jiji la matajiri...ongezea mengineJiji tamu sana Arusha, nitarudi nakuishi tena Arusha!
dsm atanikikaa kwenye kibasi naenda town lazma jasho linitokee (sijui kwasababu nlikuwa sija pazoea) ata wakati wa kulala bila kuwasha feni usingizi sipati,nikulowa jasho tu,sijui kama ntaweza kuishi mkoa mwingine zaidi ya ArushaMkuu nikiwa Arusha huwa naweza kutembea kwa miguu nikiwa na mtoto mzuri kuanzia Sekei mpaka Kisongo...kwasababu hali ya hewa ni conducive isiyochosha.
Unakuta hadi mtoto mwenyewe ananiambia yanini tupande hiace bwana? mi nataka twende kwa miguu
Na hata nikifika kisongo hata chembe ya jasho sina...
ILA Dsm kutoka tu Mwenge kuingia sinza mtu unaloa na kutoka jasho kama vile ulikuwa unachochea tanuru.
LONG LIVE CHUGA.....ua blessed.
Aisee..we mshenzy hiyo ID plus Avatar na uliyo yaandika hapa...mnaendana sana! eti barabara ya washenzy hahahah!Dar ni mji wa washenzi tu.. Mimi siwezi kwenda Dar na flight ya asubuhi au mchana.. Napakia ile daladala ya FastJet ya mwisho naingia usiku at least foleni na joto vimepungua.. Na nikifika sikai ushenzini na wala situmii barabara za washenzi sijui Morogoro road, sijui Mandela Road... kuondoka ni saa 11 niwahi flight ya kwanza.. Huwa nawashangaa sana vijana wanaotafuta maisha Dar..
Hivi unaendaje kwenye starehe unakutana na foleni na joto jingi? Si unalewa hata kabla ya kufika Bar, no wonder mpaka serikali inakimbia huyo mji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha soon very soon! Arusha patam saana.
Mkuu haya maeneo yanasifika kwa lipi hapo Chuga?Mkuu, Weka na picha za Angle Sheraton, Sekei, Unga Limited, Kijenge na Matejoo!.
Panasifika kwa lipi huko mkuu?Hahaha mbona hata huko pako fresh tu.
Panasifika kwa kuhandle mabilionea wengi katika eneo dogoPanasifika kwa lipi huko mkuu?
Huko Angle Sheraton na Unga limited?