Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

f654d5af1c8d4dc2cd7ebd359de2a0ae.jpg
Aim Mall Opposite Tanapa Hq not officially opened


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kuuliza hayo, Je mnazijua vigezo vya mji kufanywa jiji?

Kama hamzijui, fatilieni. Kama mnazijua, tuambieni moja ambayo mnadhani Arusha haijatimiza ili kuwa jiji kisha tutawajibu.

Acheni maswali mepesi.
Hivi walishatanua mipaka yake maana sababu iliyochelewesha kuwa jiji ni kutokana na udogo wa Manispaa yaani ukitoka katikati ya mji umbali wa kilometa 5 mpaka 6 umemaliza Manspaa na kuingia wilaya nyingine
 
Hivi walishatanua mipaka yake maana sababu iliyochelewesha kuwa jiji ni kutokana na udogo wa Manispaa yaani ukitoka katikati ya mji umbali wa kilometa 5 mpaka 6 umemaliza Manspaa na kuingia wilaya nyingine
Hata kabla ya kuongezwa maeneo huo ukubwa wa 5 to 6km ni uongo toka Clock tower to njiro msola ni km 12

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
dsm atanikikaa kwenye kibasi naenda town lazma jasho linitokee (sijui kwasababu nlikuwa sija pazoea) ata wakati wa kulala bila kuwasha feni usingizi sipati,nikulowa jasho tu,sijui kama ntaweza kuishi mkoa mwingine zaidi ya Arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapafai kabisa huko mkuu.

Sio mahali panapopaswa kuishi binadamu na akili zao
 
ila chuga wazungu wnapigwaje ndole.juzi kuna wawili wamepigwa ndole ya hatari.wameachiwa ndala tu
We unafikiri hayo mapoli katikati ya mji watapona kweli,hiyo ni hideout ya vibaka chalii
 
Back
Top Bottom