Jifunze ushirikina hapa

Jifunze ushirikina hapa

Matusi yako wapi hapa? Si bure naona kama si mimba changa basi uko kwenye siku zako
Unaanza kutukana wakina mama na kinadada wamekufanyia nini kijana?
Kwani nawe si ulitokana na mimba na pia wakina mama na kina dada kupata hedhi ni mipango ya MUNGU so lengo lako nini hasa?
 
Unaanza kutukana wakina mama na kinadada wamekufanyia nini kijana?
Kwani nawe si ulitokana na mimba na pia wakina mama na kina dada kupata hedhi ni mipango ya MUNGU so lengo lako nini hasa?
Kwanza mimi sio kijana ingia profile yangu sijaficha kitu. Pili jifunze kujiamini usitafute huruma kwa wenzako
 
Achana nae huyo mbwiga wa kikongo nafikiri hili limwanamke ni ligagula lililokubuhu maana naona linaumia kweli kuhusu threads za Mshana Jr
mugeza kwenye mazao yaliyomea vizuri magugu huwa hayakosekani, cha muhimu ni kuyang'oa na kwenda kuyachoma moto pembeni
Unapomuona mtu anachafukwa sana kwenye mambo kama haya usimkasirikie bali muonee tu huruma...maana...!!! Kwenye msafara wa nyani dume majike pia hayakosekani
 
Kwanza mimi sio kijana ingia profile yangu sijaficha kitu. Pili jifunze kujiamini usitafute huruma kwa wenzako
Hongera zako nadhani wewe haukuzaliwa na mama na wala huna dada anaepata siku zake.
Vijana wa mshana jr kama misukule wala hamjitambui
 
mugeza kwenye mazao yaliyomea vizuri magugu huwa hayakosekani, cha muhimu ni kuyang'oa na kwenda kuyachoma moto pembeni
Unapomuona mtu anachafukwa sana kwenye mambo kama haya usimkasirikie bali muonee tu huruma...maana...!!! Kwenye msafara wa nyani dume majike pia hayakosekani
Jipange vizur kwa hoja, hiyo mipasho haitakusaidia kwa akili zako fupi.
Uchawi umekudumaza hauna hoja yeyote ya msingi
 
Hongera zako nadhani wewe haukuzaliwa na mama na wala huna dada anaepata siku zake.
Vijana wa mshana jr kama misukule wala hamjitambui
Ongea na mimi kima wewe acha kulialia kama unasulubuliwa kikalio
 
Kwanza mimi sio kijana ingia profile yangu sijaficha kitu. Pili jifunze kujiamini usitafute huruma kwa wenzako
Tena wewe sio kijana bali ni chizi ulietukuka,
mnawapa wapi ujasiri wa kutetea uchawi kiasi hicho? Wewe ni msukule kama misukule mingine.
Najiamini na ndio mana nikawa na mchana huyo mwalimu wenu wa uchawi.
Vijana wadogo mna mawazo ya karne ya kumi na moja.
 
Tena wewe sio kijana bali ni chizi ulietukuka,
mnawapa wapi ujasiri wa kutetea uchawi kiasi hicho? Wewe ni msukule kama misukule mingine.
Najiamini na ndio mana nikawa na mchana huyo mwalimu wenu wa uchawi.
Vijana wadogo mna mawazo ya karne ya kumi na moja.

Uchawi umeshawalemaza ninyi vijana wa mshana jr.
Hamjitambui kama misukule
Manii ni noma naona umeanza kubinua midomo ukiongea na kubana pua... Takuletea zawadi ya shanga na kikuku
 
Siku zote nawaambia humu...ukiona mtu anatokwa Povu kama kanywa OMO ujue huyo aidha ni Mtoto hajui ya Dunia...au..ni..Mchawi..
so anahisi mambo yao yanaanikwa humu
 
Siku zote nawaambia humu...ukiona mtu anatokwa Povu kama kanywa OMO ujue huyo aidha ni Mtoto hajui ya Dunia...au..ni..Mchawi..
so anahisi mambo yao yanaanikwa humu
dolevaby wachawi wana namna yao ya kushambulia...hawa wengine hawa ni kesi tofauti kabisa, kwahiyo unachofanya ni kuwafungia vioo mazima... you just observe xtreme dead silence. ..period...!!!
 
Duu naona umeshindwa kabisa kubanduka kwenye hii mada..jus get the load of this

unafundisha watu uchawi ili iweje...!?
Hata shetani ana maneno kama hayo.
We una laana ya uchawi, unataka kuisambaza hiyo laana yako kwa watu wengi hapa JF, hauwezi na hautaweza kamwe hiyo mipango yako.
Je unaweza kuniambia faida za uchawi?
Hao unaowaona wanajiita secret society ikiwemo freemason, illuminat n.k wana mipango mikubwa ya kusambaza utawala wa shetani lakini wanajua mwisho wao ni motoni.
We unaleta mambo ya kitoto hapa na hao wajinga wenzako wanakusifia unavimba kichwa kama likichaa fulani
 
Wachawi ni watu ambao wana mawazo ya uasi na uovu kila siku. Hivyo kinachoendelea humu ndani ni wanadhihirisha namna mawazo yao ya uovu yalivyo.
Vitabu vya dini vinasema
" na alaaniwe mtu yule amfanyaye binadamu mwenzake kama kinga yake"
Kwa hiyo wanavyoendelea kutetea hayo mambo ya uchawi wanadhihirisha ni namna gani laana inavyowatafuna.
 
Back
Top Bottom