Jifunze ushirikina hapa

Jifunze ushirikina hapa

Ndio ilivyo Mkuu Kizibo,maana kuna watu humu wataalamu,yaani ukiwatibua basi MAZINGAOMBWE yanakujia.
Mmmh kuna wakati kuna watu huwa nawaona humu sidhani kama ni binadamu halisi au ni majini.... Siwaamini sana na huwa nawakwepa
 
Hapana mimi sio mganga wala si mchawi

Osie izi mbui uanze ini kuzifufudua? Nakumbuka Gambian kipindi fulan kulikuwa na mama mmoja mzungu alikuwa anajifunza uganga wa kienyeji, nee akijata peku osie, ashinda toewa ngoma kio kigima.
 
Osie izi mbui uanze ini kuzifufudua? Nakumbuka Gambian kipindi fulan kulikuwa na mama mmoja mzungu alikuwa anajifunza uganga wa kienyeji, nee akijata peku osie, ashinda toewa ngoma kio kigima.
Osie eka du iwe uko kwa wavutika mesho niitieko iyo mivigha nieneyo eka du..kuna mbui sidaha zishimweea aha hata siku ng'wenga
 
Mshana mm nataka kujua element za mtu ambae ni mchawi pia MTU ambaye ni member wa Freemason
 
Mshana mm nataka kujua element za mtu ambae ni mchawi pia MTU ambaye ni member wa Freemason
Maranyingi ni vigumu ila kuna viashiria vya siri kama rangi ishara mbalimbali vyakula nk
 
Back
Top Bottom