Kibuyu Kazi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2017
- 303
- 90
Unatisha kaka
Mshana hilo lengo lako la kuongeza idadi ya wachawi ili watu walogane ushindwe kwa jina la yesu
Mshana naomba unilogee FaizaFoxy
Nipe uchawi wa kupata pesaNina video tuu![]()
![]()
![]()
hivi ilinipitaje hii....View attachment 323858
View attachment 323856
Inaweza kuwa mshangao kwa wengi kuwa sasa nataka kufundisha uchawi live.. La hasha! Hili sio lengo langu kuu. Lengo langu hapa ni;
1. Kuondoa yale mawazo potofu na mgando kuwa unapozungumzia ushirikina basi wewe hujasoma hujui na unaamini vitu ambavyo havipo.
2. Kuondoa dhana ya kuwa uchawi uko Africa na waafrika ndio waabudu uchawi wakubwa.
3.Uchawi na ushirikina ni aina ya sayansi mbinu mahesabu na viashiria vya mambo ya kawaida kabisa.
Wakati sisi tukiaminishwa na wazungu kuwa uchawi ni kitu kibaya na cha kishamba kabisa, wao wameendelea na utafiti juu ya uchawi huku kukiwa na maandiko makongamano vyuo na hata miradi mbalimbali ya uchawi na ushirikina.
Sasa hivi ukihitaji kujifunza uchawi huhitaji kwenda mbali bali kwenye simu yako tayari kuna apps nyingi tu zinazofundisha hayo mambo.
View attachment 323860
Kama u mpenzi wa kujifunza mambo mapya na udadisi wa yale yasiyojulikana na wengine, waweza ingia huko na kupata mengi, LAKINI jifunze kwa nia ya kufahamu na si kutenda.
Fahamu kila utendalo lakini usitende kila unalofahamu..
![]()
![]()
![]()
![]()

Kwann asiende ukinganiFanya kazi kwa bidii kisha punguza matumizi na starehe
Sio kweli kwamba mtu anaweza kusoma hapatu na akawa mchawi hili nakataa kwa asilimia 100View attachment 323858
View attachment 323856
Inaweza kuwa mshangao kwa wengi kuwa sasa nataka kufundisha uchawi live.. La hasha! Hili sio lengo langu kuu. Lengo langu hapa ni;
1. Kuondoa yale mawazo potofu na mgando kuwa unapozungumzia ushirikina basi wewe hujasoma hujui na unaamini vitu ambavyo havipo.
2. Kuondoa dhana ya kuwa uchawi uko Africa na waafrika ndio waabudu uchawi wakubwa.
3.Uchawi na ushirikina ni aina ya sayansi mbinu mahesabu na viashiria vya mambo ya kawaida kabisa.
Wakati sisi tukiaminishwa na wazungu kuwa uchawi ni kitu kibaya na cha kishamba kabisa, wao wameendelea na utafiti juu ya uchawi huku kukiwa na maandiko makongamano vyuo na hata miradi mbalimbali ya uchawi na ushirikina.
Sasa hivi ukihitaji kujifunza uchawi huhitaji kwenda mbali bali kwenye simu yako tayari kuna apps nyingi tu zinazofundisha hayo mambo.
View attachment 323860
Kama u mpenzi wa kujifunza mambo mapya na udadisi wa yale yasiyojulikana na wengine, waweza ingia huko na kupata mengi, LAKINI jifunze kwa nia ya kufahamu na si kutenda.
Fahamu kila utendalo lakini usitende kila unalofahamu..
![]()
![]()
![]()
![]()
My friend, sasa unaelekea kubaya to be honest.
You cannot claim to believe in God yet at the same time teach people how to cross limits ordained by God into witchcraft! How do you teach people
I would expect you to teach people stuff that re-affirms their faith in God and not stuff that makes them associate witches and wizards with God.
Mfano mtu amekata tamaa kulingana na mitihani aliyoipata. Nilitegemea ungempa matumaini mapya ya kumtumainia Mungu na wala sio kumpa option ya chuma ulete kwa mfano.

Uchawi ni nguvu za uharibifu tu hakuna lolote. Hamna mchawi mwenye kumtakia mtu mema. Msomi ambaye ni mchawi, ujuwe hajaelimika!View attachment 323858
View attachment 323856
Inaweza kuwa mshangao kwa wengi kuwa sasa nataka kufundisha uchawi live.. La hasha! Hili sio lengo langu kuu. Lengo langu hapa ni;
1. Kuondoa yale mawazo potofu na mgando kuwa unapozungumzia ushirikina basi wewe hujasoma hujui na unaamini vitu ambavyo havipo.
2. Kuondoa dhana ya kuwa uchawi uko Africa na waafrika ndio waabudu uchawi wakubwa.
3.Uchawi na ushirikina ni aina ya sayansi mbinu mahesabu na viashiria vya mambo ya kawaida kabisa.
Wakati sisi tukiaminishwa na wazungu kuwa uchawi ni kitu kibaya na cha kishamba kabisa, wao wameendelea na utafiti juu ya uchawi huku kukiwa na maandiko makongamano vyuo na hata miradi mbalimbali ya uchawi na ushirikina.
Sasa hivi ukihitaji kujifunza uchawi huhitaji kwenda mbali bali kwenye simu yako tayari kuna apps nyingi tu zinazofundisha hayo mambo.
View attachment 323860
Kama u mpenzi wa kujifunza mambo mapya na udadisi wa yale yasiyojulikana na wengine, waweza ingia huko na kupata mengi, LAKINI jifunze kwa nia ya kufahamu na si kutenda.
Fahamu kila utendalo lakini usitende kila unalofahamu..
![]()
![]()
![]()
![]()