Jifunze ushirikina hapa

Jifunze ushirikina hapa

Mkuu mshana nimeingia play store zipi nyingi sana hizo app so ipi ni bora zaidi nitajie nikaipakue
 
Jamani hii ligi si mbaya ila sasa mnaenda mbali....
Hebu mpare abadili heading tuone itaendelea au
 
Jamani hii ligi si mbaya ila sasa mnaenda mbali....
Hebu mpare abadili heading tuone itaendelea au
86c8e81daca91ec54f1d94dedee9da90.jpg
8ea94093ab43f441b9f33c024810676e.jpg
 
So it is always like that...+
Bro.....unajua najiuliza hapa.

Tunajua brain ina regions tatu na kila moja inakazi yake
Mtu akitolewa region ya mbele tu anaweza ishi ila atakuwa hayupo timamu

Sasa hawa viumbe wengine ambao wana operate rohoni wanawaze kufikiri, ku reason na kutoa maamuzi husika?
 
Bro.....unajua najiuliza hapa.

Tunajua brain ina regions tatu na kila moja inakazi yake
Mtu akitolewa region ya mbele tu anaweza ishi ila atakuwa hayupo timamu

Sasa hawa viumbe wengine ambao wana operate rohoni wanawaze kufikiri, ku reason na kutoa maamuzi husika?
Ni lazima kuwe na mwili na roho ili kutengeneza nafsi ambayo ndio inakuwa na utashi wa kufanya maamuzi, lakini kukiwa kuna shida fulani kwenye hiyo nafsi basi matatizo huanzia hapo
 
Ni lazima kuwe na mwili na roho ili kutengeneza nafsi ambayo ndio inakuwa na utashi wa kufanya maamuzi, lakini kukiwa kuna shida fulani kwenye hiyo nafsi basi matatizo huanzia hapo
Hasa hizi spirit (mzimu,majini etc) hazina utashi zikiwa nje ya mwili???
 
Daaa we noma unajua nilikosea kusoma nikajua "jifunze kushirikiana hapa" ikabidi nirudie mara ya pili kusoma baada ya kuona picha mbona haziendani, ndio nikaelewa. Sasa cjui, ndio teyari .... nilikuwa naona kiini macho. 🙂🙂🙂🙂
 
Daaa we noma unajua nilikosea kusoma nikajua "jifunze kushirikiana hapa" ikabidi nirudie mara ya pili kusoma baada ya kuona picha mbona haziendani, ndio nikaelewa. Sasa cjui, ndio teyari .... nilikuwa naona kiini macho. 🙂🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom