Mkuu kwani ukisema 'najua' nyama ya Kitimoto kwa sababu umeshaonja badala ya kusema 'nasikia' Kuna mtu anakupiga?😂😂😂😂😂 Kitimoto nyama yake naskia inavutika sana
Hapana haya matakataka na yala nakuyafuga ila sio hata kama ni matamu kuliko nyama zingine ,ni vile tu basi kukomoana kidini tu.Utakua msabato makambi wewe
Astaghfillah astaghfillahMkuu kwani ukisema 'najua' nyama ya Kitimoto kwa sababu umeshaonja badala ya kusema 'nasikia' Kuna mtu anakupiga?
We si juzi ulikuwa uanisifia kitimoto kwa Ile ID yako nyingine!
Wewe nawe tapeli tu, Ukimtoa swala. Hao wengine kwa mdudu wanapanga foleni ndefu sanaHapana haya matakataka na yala nakuyafuga ila sio hata kama ni matamu kuliko nyama zingine ,ni vile tu basi kukomoana kidini tu.
Kitimoto aheshimiwe na watu wote bhana!Astaghfillah astaghfillah
Hayo manyama ya kikijinga jinga tu , inavyoonekana unayala mara moja moja ndio maana🤔Wewe nawe tapeli tu, Ukimtoa swala. Hao wengine kwa mdudu wanapanga foleni ndefu sana
Imeonekana kwenye tv asilia Yako. Sipo ku prove chochote. Tukubaliane tu hapo hapoHayo manyama ya kikijinga jinga tu , inavyoonekana unayala mara moja moja ndio maana🤔
SijakuelewaImeonekana kwenye tv asilia Yako. Sipo ku prove chochote. Tukubaliane tu hapo hapo
Nipe digits zakeAf ndio uka mkataa binamu yangu poa
Dahhhh..... nna karibia mwez bwashee sijala hii mambo .... ngoja jion baada ya harakati nipitie wala niupe mwili chochote kitu ............
Astakafirullah cc Poor BrainAisee hadi mate yamenitoka hapa 😋.
Yaani kesho natapika halafu naenda kukaa chini ya mti uliokaribu na msikiti wa hapa jirani ilikusudi niwarushe tu roho wale wanaokwenda kuswali.
Mbona watafungua bila kupenda?!
Ndugu yangu katika imani Monetary doctor njoo tuone msosi mtamu.
Mbaga Jr.
UmepoteaDogo kwenye ubora wako
Ndio ila kuingia shambn wao ngumuNa wanyama mmewafukuza ili mlime.
Ndio nilikuwa nachukua ujuziAlafu Mwachiluwi unatuchukuliaje humu ndani.
yaani kumbe kukaa kimya kote huko leo unataka kutufundisha kupika kitimoto laana kabisa hicho kiumbe.
😂😂😂😂😂 Kitimoto nyama yake naskia inavutika sana
Embe mixer na brtoUnaniona Mimi boya au?
Mnapenda kuchokoza watu😂Naweza pata kitimoto 🐖 Kwa ajili ya daku Leo alfajiri?
Kabisa mapema tuMdudu ni mdudu tuu. Ngoja kesho nizame kwa mangi nipate mdudu rosti na ugali.😊