Jifunze kiswahili sanifu

Jifunze kiswahili sanifu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,505
Reaction score
860,514
35dfc353edf9899e3db30ac512222ef8.jpg


Sent from my SM-N910X using JamiiForums mobile app
 
Dah! Kazi ipo
Asilimia 99 ya wana JF hawajui kiswahili kama huamini jaribu kumuuliza mtu neno mojawapo ya hayo hapo tafsiri yake ya kiswahili uone majanga yake
 
Asilimia 99 ya wana JF hawajui kiswahili kama huamini jaribu kumuuliza mtu neno mojawapo ya hayo hapo tafsiri yake ya kiswahili uone majanga yake
Mi mwenyewe ndio nimejifunzia hapo
 
Tunajiita Waswahili, huku lugha ya Kiswahili hatuijui ipasavyo.Ati juice =sharubati? Nilikua sijui. Itanibidi niitafute kamusi ya Kiswahili ili, nianze kujifunza maneno mapya ya hii lugha adhimu. Asante mshana jr
 
Stress ni pale unapogundua kumbe hujui kiswahili wala kiingereza.

Nimepoteza begi stand lenye kiotomotela, kadi sakima, kadi kazi, pamoja na tarakishi.
[emoji1] [emoji1] [emoji15] balaa hili.
Watu wakisikia hivi wanaweza kukuita mkimbizi
 
Mshana Jr, umeipata wapi hii? Kuna tovuti ninakoweza kupata picha na habari hizi za leksikografia ya Kiswahili hasa utohoaji na uundaji wa istilahi kama hizi? Asante ila usije ukaniroga!
 
Stress ni pale unapogundua kumbe hujui kiswahili wala kiingereza.

Nimepoteza begi stand lenye kiotomotela, kadi sakima, kadi kazi, pamoja na tarakishi.
[emoji1] [emoji1] [emoji15] balaa hili.
Hii ni lugha rasmi na inapaswa kutumika katika mazingira rasmi mf. katika akademia. Hata Kiingereza huwezi kuanza kutumia maneno ya kitaalamu katika mazingira yasiyohusika. Hutaeleweka.
 
Hapo kwenye juice tu ndipo pameniacha hoi.
Yote haya tutabaki kuzilaumu serikali zilizopita ambazo ata LOWASSA alikuwemo.
Go @Magufuli go, ulipo tupo.
 
Hapo kwenye juice tu ndipo pameniacha hoi.
Yote haya tutabaki kuzilaumu serikali zilizopita ambazo ata LOWASSA alikuwemo.
Go @Magufuli go, ulipo tupo.
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Back
Top Bottom