Mi mwenyewe ndio nimejifunzia hapoAsilimia 99 ya wana JF hawajui kiswahili kama huamini jaribu kumuuliza mtu neno mojawapo ya hayo hapo tafsiri yake ya kiswahili uone majanga yake
![]()
Sent from my SM-N910X using JamiiForums mobile app
Watu wakisikia hivi wanaweza kukuita mkimbiziStress ni pale unapogundua kumbe hujui kiswahili wala kiingereza.
Nimepoteza begi stand lenye kiotomotela, kadi sakima, kadi kazi, pamoja na tarakishi.
[emoji1] [emoji1] [emoji15] balaa hili.
Hii ni lugha rasmi na inapaswa kutumika katika mazingira rasmi mf. katika akademia. Hata Kiingereza huwezi kuanza kutumia maneno ya kitaalamu katika mazingira yasiyohusika. Hutaeleweka.Stress ni pale unapogundua kumbe hujui kiswahili wala kiingereza.
Nimepoteza begi stand lenye kiotomotela, kadi sakima, kadi kazi, pamoja na tarakishi.
[emoji1] [emoji1] [emoji15] balaa hili.
![]()
Sent from my SM-N910X using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana Jr, umeipata wapi hii? Kuna tovuti ninakoweza kupata picha na habari hizi za leksikografia ya Kiswahili hasa utohoaji na uundaji wa istilahi kama hizi? Asante ila usije ukaniroga!
![]()
Sent from my SM-N910X using JamiiForums mobile app