Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,355
- 13,887
Ww nahisi hata ukinywa sharubati lowasa unakua unamuona, sijui kuna uhusiano gani kati ya post Na lowasa
Ww nahisi hata ukinywa sharubati lowasa unakua unamuona, sijui kuna uhusiano gani kati ya post Na lowasa
Hapo kwenye juice tu ndipo pameniacha hoi.
Yote haya tutabaki kuzilaumu serikali zilizopita ambazo ata LOWASSA alikuwemo.
Go @Magufuli go, ulipo tupo.
Ww nahisi hata ukinywa sharubati lowasa unakua unamuona, sijui kuna uhusiano gani kati ya post Na lowasa
Kiswahili chake cha Kale... Kasomea R na L tu na pia hajui virefu vyake
Begi.....MkobaStress ni pale unapogundua kumbe hujui kiswahili wala kiingereza.
Nimepoteza begi stand lenye kiotomotela, kadi sakima, kadi kazi, pamoja na tarakishi.
![]()
![]()
balaa hili.