mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,342
- 3,533
Hahahahahahahahaha......safi mimi na wewe ni Googlean
Sawa mkuu.
Hahahahahahahahaha......safi mimi na wewe ni Googlean
Mkuu, nimekupata. Correction kidogo, huwa ni "five by five" and not five over five. ikimaanisha LOUD AND CLEAR. hiyo ya one sixty nine hutumiwa na marubani kama kutambulisha flight number wakati anapofanya mawasiliano na control tower/air traffic controller. ELIMU NI BAHARI, LET US SHARE THE KNOWLEDGEHahaha professor nafikiri umekosoa tu lakini hujataka elimu zaidi, na kwakuwa hujataka kuuliza nami nakuacha, Phonetic Alphabet ina wigo mpana ndugu yangu hayo maneno Roger na Copied ni maneno ambayo yamezoeleka tu.
Mfano kuna maneno kama; "one sixty nine," "five over five" unayajua maana yake?
Wote mtatumia code moja but mtatofautiana namba. kwa mfano, DELTA ALPHA 4.6 ila inatamkwa '4'6'..yaani four six. kwa hiyo nikiita, nitaanza kuita code ya yule nayempa taarifa. let say wewe namba yako ni 4.5..."DELTA ALPHA FOUR FIVE, THIS IS DELTA ALPHA FOUR SIX...DO YOU COPIE?"...hujaeleza vizuri,
kama team yetu ni B1 na tupo watatu ndani ya team hiyo, kuna kuwa na bravo1,bravo2,bravo3...
oyeeeeCharlie Charlie Mike Oscar Yankee Echo Echo Echo Echo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
copy thatWote mtatumia code moja but mtatofautiana namba. kwa mfano, DELTA ALPHA 4.6 ila inatamkwa '4'6'..yaani four six. kwa hiyo nikiita, nitaanza kuita code ya yule nayempa taarifa. let say wewe namba yako ni 4.5..."DELTA ALPHA FOUR FIVE, THIS IS DELTA ALPHA FOUR SIX...DO YOU COPIE?"...
Tango PoriEndapo mwanajeshi kapewa code name T, kwahiyo akiitwa anaitika Tango?.
Hii sio chai kweli au ni Movie zimekuathiri.

kulewa communication tofautiHalafu ukishajifunza inakusaidia nini?
ginehe ng'wing'wanaOngezea na hili
Mfano komando anapigiwa cm amapokea anasema
KINEHE MWIMWANA
mbona mike,alpha au yankee hamshituki ila tango ndio tabu kabisa... HahahaTango Pori
Hahaah![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
RogerWote mtatumia code moja but mtatofautiana namba. kwa mfano, DELTA ALPHA 4.6 ila inatamkwa '4'6'..yaani four six. kwa hiyo nikiita, nitaanza kuita code ya yule nayempa taarifa. let say wewe namba yako ni 4.5..."DELTA ALPHA FOUR FIVE, THIS IS DELTA ALPHA FOUR SIX...DO YOU COPIE?"...

hasa do you copy ,OverjmpJuliett Mike Papa(JPM)
mkopo ni kodi,Huyu jamaa mkopo wa chuo hukuutumia kwa malengo taliyokusudiwa
Chiza nkoyginehe ng'wing'wana
Wewe kama raia,mawasiliano ya kijeshi yana umuhimu gani kwako? Labda ungenambia kujifunza lugha ya viziwikulewa communication tofauti
CCMhahaha ! umetisha mkuu
nadhani kuelewa jambo si lazima nilitumie..Wewe kama raia,mawasiliano ya kijeshi yana umuhimu gani kwako? Labda ungenambia kujifunza lugha ya viziwi
lugha ya viziwi naifahamu pia ya wasioona naifahamu...Wewe kama raia,mawasiliano ya kijeshi yana umuhimu gani kwako? Labda ungenambia kujifunza lugha ya viziwi