neno hilo likifail huwa linatumika hili “pan-pan pan-pan pan-pan”, ukimalizia na kituo unachoomba msaada... neno hili lintumika sana na wafaransa ama linaasili ya kifaransa..Ukiwa kwenye ndege ukasikia may day may day tafuta parachuti uokoe maisha yako haraka
Hahah...umenichekesha sana! Ndege utarukaje na parachute? siyo rahisi kihivyo. hata hivyo ni rare scenario kutokea. kuna Marubani wanaanza carrier ya u-pilot mpaka kustaafu hawajawahi kutangaza "may day may day". Hata control tower wenyewe wakisikia may day imetangazwa...panachimbikaga! Air traffics wote walioko on duty wanaacha kazi zote na ku-concentrate na ndege hiyo ilitangaza hali ya hatari. mara nyingi husitisha shughuli zote on ground mpaka wajue hatima ya ndege hiyo...Ukiwa kwenye ndege ukasikia may day may day tafuta parachuti uokoe maisha yako haraka
acknowledgeMfano kwenye ile movie ya olympus has fallen
Utakumbuka yule jasusi Bennie alipofanikiwa kuingia white house akatumia sim ya rais kuwasiliana na makao makuu ya ulinzi pentagon
Mkuu wa CIA akamtaka jasusi Bennie ajitambulishe
Akaulizwa designate.....akajibu oscar zullu basi yule mama mkuu wa CIA ndo akamtambua kuwa ni jasusi Bennie....!!
Ni katika kukumbushana tu...!
ili mtu asichanganye mfano badala ya kuskia mtu kasema B au P hivo anapata uhakika ni B kwa sababu kaskia neno BRAVOUko sahihi,isipokua hujaleza dhana na malengo ya kubadilisha misemo ni nini.wanahofia nini hadi B waiite bravo!
hii ni lugha ya anga kokote duniani siyo ya jeshi la nato tu
naposema 1 2 3 4 5 ni namba za kiarab si maanishi mwarabu tu...hii ni lugha ya anga kokote duniani siyo ya jeshi la nato tu
Hii ndio dhana kuu ya kutumia hizo herufi. Kuepusha mtu kusikia vibaya, mfano polisi akikumata anatumia hizo ili mwenzie alie na access ya database asikosee hasa P,B,Dili mtu asichanganye mfano badala ya kuskia mtu kasema B au P hivo anapata uhakika ni B kwa sababu kaskia neno BRAVO
Hapana tulikuwa wanafunzi shule tu ndio ilikuwa ya kijeshi tulijifunza kutumia silaha practically mabomu tulilipua sana LMG SAR na nyingine tulipiga sanaaamlikua wakorofi nadhani
Victor India Mike Echo Kilo Alpha Zulu AlphaVICTOR YANKEE UNIFORM MIKE ALPHA
Hatutumii jina la mtu kama code identity, bali place/mahala unapofanyia kazi. kwa mfano, wewe ni mwajiliwa let say kituo chako cha kazi ni DAR...code yako itakuwa...DELTA ALPHA plus number yako ya utambulisho. eg. DELTA ALPHA PAPA 1.2 etc
Mbona kama matamshi ya Kihindi haya..! Charlie charlie Mike...Charlie Charlie Mike (Chama Cha Mapinduzi)
(very funny)vimekaza ! copy that.Victor India Mike Echo Kilo Alpha Zulu Alpha
ccmMbona kama matamshi ya Kihindi haya..! Charlie charlie Mike...![]()
![]()
![]()
![]()
(very funny)
grisi ipo ???Victor India Mike Echo Kilo Alpha Zulu Alpha
Sawa,ili mtu asichanganye mfano badala ya kuskia mtu kasema B au P hivo anapata uhakika ni B kwa sababu kaskia neno BRAVO
safi mimi na wewe ni GoogleanSawa,
Ktk procedure/ mawasiliano kijeshi ,kuna maneno maficho,,majina bandia(nikename)nk.lengo kuu ni kwamba ,kuepusha hata kama kuna adui kalibu asijue mnachozunguza,juzi watu walikua wanazungumzia ambushi humu,ambushi inahusiana sana na maneno ya aina hii,maana adui anaweza kuingia kwenye ngome yenu ana akasoma kilakitu hadi mifumo yunu,maongezi yenu,mipango yenu,nk ,lakini unapotumia maneni maficho au majina bandia ,adui unamchanganya na hatakama yupo ktk kundi lenu mnaweza kumgundua kwa haraka kwa sio mmoja kati yenu.
Malanyingi kila jeshe linatofautiana kwenye hii misemo kutokana na lugha wanayotumia.
Mfano kwa police kwenye matukio wanakmba msaada,utawasikia ,tuwaletee NYAMBIZI au CHA MIGUU MINNE OVER.
Kama wewe ni raia utaumuza kichwa kwamba nyambizi itakujaje mtaani,mala unashangaa maji ya upupu.
Hahahahahahahahahahha... .
Nimezipata google kama wewe mleta uzi.