Hatutumii jina la mtu kama code identity, bali place/mahala unapofanyia kazi. kwa mfano, wewe ni mwajiliwa let say kituo chako cha kazi ni DAR...code yako itakuwa...DELTA ALPHA plus number yako ya utambulisho. eg. DELTA ALPHA PAPA 1.2 etcCharlie Charlie Mike (Chama Cha Mapinduzi)
hapana. kama umeelewa maelekezo kutoka upande mwingine unaofanya nao mawasiliano huwa tunasema Roger or copied kuonyesha kuwa umepokea ujumbe kama ilivyokusudiwa. askari wa Kibongo wanapenda kutumia neno "Nimekusoma"KWA KUONGEZEA;
01.Askari anaposema "Lima Charlie" yaani anamaanisha LOUD & CLEAR kwa tafsiri rahisi ni "amekuelewa vizuri kabisa"
hahahaha mkuu umetisha sana unaweza ukasema huyu jamaa labda ndiyo almanusura (lost survival) ... mambo ya bullet in the head matokeo yake ndiyo code kama hizo..Kumbe mkuu ulipona huko congo
mlikua wakorofi nadhaniUmenikumbusha Tabora girls tulizikariri balaa nakuziongea kama lugha yetu
HahahaMimi Huku Mwanza Matraffic Huwa Wanaitana Utasikia Sato Namba Moja Wasiliana Na Kiboko Namba 4 Sangara Namba 2 Niko Timamu Afande Maelekezo Mara Mamba Mara Tango Ukisikia Kifaru Namba Moja Ni Pira
Sawa Sawa kama unajua fahamu hivyo,Ni kweli si sio NATO tu, hizo ni code za kimataifa kwa mambo ya ulinzi hususani kwenye mawasiliano yao ya radio call, hata makampuni yote ya ulinzi hapa tz ndio lugha yao hiyo.
safi sana,hapana. kama umeelewa maelekezo kutoka upande mwingine unaofanya nao mawasiliano huwa tunasema Roger or copied kuonyesha kuwa umepokea ujumbe kama ilivyokusudiwa. askari wa Kibongo wanapenda kutumia neno "Nimekusoma"
Hahaha! code language imeshikaMimi Huku Mwanza Matraffic Huwa Wanaitana Utasikia Sato Namba Moja Wasiliana Na Kiboko Namba 4 Sangara Namba 2 Niko Timamu Afande Maelekezo Mara Mamba Mara Tango Ukisikia Kifaru Namba Moja Ni Pira
hili sawa huwa naliskia nadhan hata kwenye situation ya meli nahisi linatumika pia...Ukiwa kwenye ndege ukasikia may day may day tafuta parachuti uokoe maisha yako haraka
Hahaha professor nafikiri umekosoa tu lakini hujataka elimu zaidi, na kwakuwa hujataka kuuliza nami nakuacha, Phonetic Alphabet ina wigo mpana ndugu yangu hayo maneno Roger na Copied ni maneno ambayo yamezoeleka tu.hapana. kama umeelewa maelekezo kutoka upande mwingine unaofanya nao mawasiliano huwa tunasema Roger or copied kuonyesha kuwa umepokea ujumbe kama ilivyokusudiwa. askari wa Kibongo wanapenda kutumia neno "Nimekusoma"