Jifunze herufi za kijeshi (NATO) na code language zao

THEGENTLEMAN1996

JF-Expert Member
May 13, 2017
518
590
habari ndugu katika jamiiforums !
MIMI si MWANAJESHI wala mtu wa usalama wetu ila nimezipata google tu !

kwanza kabisa nikushukuru kwa kutumia muda wako kupitia uzi huu,zifuatazo ni herufi 26 na zitamkwavyo na majeshi ya NATO.lakini pia nimeweka LANGUAGE CODE ya kuziandika kwa usashihi.
hizi International Radiotelephony Spelling Alphabet zilianzishwa na kutofautishwa MATAMSHI kulingana na sehemu husika kwa sababu baadhi ya herufi zilifanana sana katika matamshi mfano. herufi "p" na "b" n.k


herufi zenyewe ni hizi hizi za kiingereza 26 yaani A,B,C,D,E,F,G,H,I,J,K,L,M,N,O,P,Q,R,S,T,U,V,W,X,Y,Z.
Sasa ili kutofautisha matumizi ya kijeshi na watu wengine kama marubani herufi hizi zilipewa majina yafuatayo;
A = Alfa
B =Bravo
C = Charlie
D =Delta
E =Echo
F =Foxtrot
G =Golf
H =Hotel
I =India
J =Juliett
K =Kilo
L= Lima ˈ
M =Mike
N =November
O =Oscar
P =Papa
Q =Quebec
R = Romeo ˈ
S = Sierra
T = Tango
U = Uniform

V = Victor
W =Whiskey ˈ
X = X-ray
Y = Yankee ˈ
Z = Zulu

sasa tutoe mfano huu........!
Mwanajeshi akipiga simu kwa mkuu wake wa oparesheni,atajitambulisha kwa kutumia hizo herufi.Kama huyo mwanajeshi amepewa utambulisho ake ni B1,yeye atajitambulisha kwa kusema BRAVO1,
yaani hajatumia herufi B ila ametamka neno zima BRAVO.

kitu kingine kama umewahi kutazama movie za kijajusi kama STRIKE BACK,
utakua umewahi kuskia matumizi ya hayo maneno.

NB; Kama kuna lingine ongeza tu
PICHA
NATO_phonetic_alphabet
 
habari ndugu katika jamiiforums !
MIMI si MWANAJESHI wala mtu wa usalama wetu ila nimezipata google tu !

kwanza kabisa nikushukuru kwa kutumia muda wako kupitia uzi huu,zifuatazo ni herufi 26 na zitamkwavyo na majeshi ya NATO.lakini pia nimeweka LANGUAGE CODE ya kuziandika kwa usashihi.
hizi International Radiotelephony Spelling Alphabet zilianzishwa na kutofautishwa MATAMSHI kulingana na sehemu husika kwa sababu baadhi ya herufi zilifanana sana katika matamshi mfano. herufi "p" na "b" n.k


herufi zenyewe ni hizi hizi za kiingereza 26 yaani A,B,C,D,E,F,G,H,I,J,K,L,M,N,O,P,Q,R,S,T,U,V,W,X,Y,Z.
Sasa ili kutofautisha matumizi ya kijeshi na watu wengine kama marubani herufi hizi zilipewa majina yafuatayo;
A = Alfa
B =Bravo
C = Charlie
D =Delta
E =Echo
F =Foxtrot
G =Golf
H =Hotel
I =India
J =Juliett
K =Kilo
L= Lima ˈ
M =Mike
N =November
O =Oscar
P =Papa
Q =Quebec
R = Romeo ˈ
S = Sierra
T = Tango
U = Uniform

V = Victor
W =Whiskey ˈ
X = X-ray
Y = Yankee ˈ
Z = Zulu


sasa tutoe mfano huu........!
Mwanajeshi akipiga simu kwa mkuu wake wa oparesheni,atajitambulisha kwa kutumia hizo herufi.Kama huyo mwanajeshi amepewa utambulisho ake ni B1,yeye atajitambulisha kwa kusema BRAVO1,
yaani hajatumia herufi B ila ametamka neno zima BRAVO.



kitu kingine kama umewahi kutazama movie za kijajusi kama STRIKE BACK,
utakua umewahi kuskia matumizi ya hayo maneno.


NB; Kama kuna lingine ongeza tu
PICHA
NATO_phonetic_alphabet
Charlie Charlie Mike (Chama Cha Mapinduzi)
 
habari ndugu katika jamiiforums !
MIMI si MWANAJESHI wala mtu wa usalama wetu ila nimezipata google tu !

kwanza kabisa nikushukuru kwa kutumia muda wako kupitia uzi huu,zifuatazo ni herufi 26 na zitamkwavyo na majeshi ya NATO.lakini pia nimeweka LANGUAGE CODE ya kuziandika kwa usashihi.
hizi International Radiotelephony Spelling Alphabet zilianzishwa na kutofautishwa MATAMSHI kulingana na sehemu husika kwa sababu baadhi ya herufi zilifanana sana katika matamshi mfano. herufi "p" na "b" n.k


herufi zenyewe ni hizi hizi za kiingereza 26 yaani A,B,C,D,E,F,G,H,I,J,K,L,M,N,O,P,Q,R,S,T,U,V,W,X,Y,Z.
Sasa ili kutofautisha matumizi ya kijeshi na watu wengine kama marubani herufi hizi zilipewa majina yafuatayo;
A = Alfa
B =Bravo
C = Charlie
D =Delta
E =Echo
F =Foxtrot
G =Golf
H =Hotel
I =India
J =Juliett
K =Kilo
L= Lima ˈ
M =Mike
N =November
O =Oscar
P =Papa
Q =Quebec
R = Romeo ˈ
S = Sierra
T = Tango
U = Uniform

V = Victor
W =Whiskey ˈ
X = X-ray
Y = Yankee ˈ
Z = Zulu


sasa tutoe mfano huu........!
Mwanajeshi akipiga simu kwa mkuu wake wa oparesheni,atajitambulisha kwa kutumia hizo herufi.Kama huyo mwanajeshi amepewa utambulisho ake ni B1,yeye atajitambulisha kwa kusema BRAVO1,
yaani hajatumia herufi B ila ametamka neno zima BRAVO.



kitu kingine kama umewahi kutazama movie za kijajusi kama STRIKE BACK,
utakua umewahi kuskia matumizi ya hayo maneno.


NB; Kama kuna lingine ongeza tu
PICHA
NATO_phonetic_alphabet
Umenikumbusha Tabora girls tulizikariri balaa nakuziongea kama lugha yetu
 
Endapo mwanajeshi kapewa code name T, kwahiyo akiitwa anaitika Tango?.

Hii sio chai kweli au ni Movie zimekuathiri.
Ni kweli si sio NATO tu, hizo ni code za kimataifa kwa mambo ya ulinzi hususani kwenye mawasiliano yao ya radio call, hata makampuni yote ya ulinzi hapa tz ndio lugha yao hiyo.
 
Back
Top Bottom